Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,556
- 2,996
In the holy books our almighty has reveal kuwa amemuumba binadamu kutokana na udongo(adamu) na kumtoa mwenza wake katika ubavu wa kushoto uliopinda!je swali kwanini hakuna muendelezo wa huu umbaji?wa kumtoa mwenza pembeni huenda kungepungua maslay queen na madanga wa mchongo.