Hapana mkuu binti alionekana soo innocent and bright hakustahili kuwepo pale,mi ni mzoefu wa kumbi za starehe na wazoefu nawafahamu hata kabla sijaongea nao.Labda ungemshugulikia kwanza..!
ndugu ubarikiwe kwa upend wako. endelea hivyohivyo usikate tamaa. kwa njia hiyo wengine wamefadhili malaika pasipo kujua . be blessed dear na huyo binti tutamuombea
Katika pitapita zangu club kuna usiku moja nikipata moja moto moja baridi kaunta akaja binti mmoja 'kaka naomba na mimi uninunulie moja' nikamnunulia na tukawa tunaongea,ana miaka 19 na ni yatima.Kamaliza form 4 mwaka jana hana wa kumuendeleza na rafiki yake akamshauri wajiuze.Nikasema hivi Uporoto si utakuwa umefanya jambo jema ukimsaidia huyu mtoto mmoja na kumbadili maisha kwa kumuendeleza na kumuepusha na uchangu ? Nikampa elfu 30 na kumwambia aende nyumbani kesho aje mjini,kesho yake tukakutana nikampeleka sehemu na kumwandikisha asome secretarial course na kumlipia na kumwambia kila wiki nitamtumia hela ya nauli na matumizi madogo kwa Mpesa.Ijumaa nimepita chuo na kuambiwa hajaonekana siku 10 na kwenye simu hapatikani.
Dah,usife moyo!
You have a heart of giving so keep it up,ila na sehemu unazoenda kutafuta watu wa kusaidia duh lazima uokote kunguru kweli
Niliamua kumsaidia tu.Hongera sana Uporoto01, lakini je, huo msaada ulitoa kwa moyo mkunjufu au ulitoa baada ya wewe kupewa msaada?
Otherwise, Mungu akubariki sana kwa niaba yake