Hivi kwanini binadamu tuko hivi.?

ndugu ubarikiwe kwa upend wako. endelea hivyohivyo usikate tamaa. kwa njia hiyo wengine wamefadhili malaika pasipo kujua . be blessed dear na huyo binti tutamuombea
 
Labda ungemshugulikia kwanza..!
Hapana mkuu binti alionekana soo innocent and bright hakustahili kuwepo pale,mi ni mzoefu wa kumbi za starehe na wazoefu nawafahamu hata kabla sijaongea nao.
 
ndugu ubarikiwe kwa upend wako. endelea hivyohivyo usikate tamaa. kwa njia hiyo wengine wamefadhili malaika pasipo kujua . be blessed dear na huyo binti tutamuombea

Nimeipenda hiyo 'By mimi mwenyewe from observation'
 
Katika pitapita zangu club kuna usiku moja nikipata moja moto moja baridi kaunta akaja binti mmoja 'kaka naomba na mimi uninunulie moja' nikamnunulia na tukawa tunaongea,ana miaka 19 na ni yatima.Kamaliza form 4 mwaka jana hana wa kumuendeleza na rafiki yake akamshauri wajiuze.Nikasema hivi Uporoto si utakuwa umefanya jambo jema ukimsaidia huyu mtoto mmoja na kumbadili maisha kwa kumuendeleza na kumuepusha na uchangu ? Nikampa elfu 30 na kumwambia aende nyumbani kesho aje mjini,kesho yake tukakutana nikampeleka sehemu na kumwandikisha asome secretarial course na kumlipia na kumwambia kila wiki nitamtumia hela ya nauli na matumizi madogo kwa Mpesa.Ijumaa nimepita chuo na kuambiwa hajaonekana siku 10 na kwenye simu hapatikani.

Dah,usife moyo!
You have a heart of giving so keep it up,ila na sehemu unazoenda kutafuta watu wa kusaidia duh lazima uokote kunguru kweli
 
Dah,usife moyo!
You have a heart of giving so keep it up,ila na sehemu unazoenda kutafuta watu wa kusaidia duh lazima uokote kunguru kweli

Sio kwamba nilitafuta ilitokea tu 'a spur of the moment thingy'.
 
Hongera sana Uporoto01, lakini je, huo msaada ulitoa kwa moyo mkunjufu au ulitoa baada ya wewe kupewa msaada?

Otherwise, Mungu akubariki sana kwa niaba yake
 
I think u were too fast!u should get time to knw here beta!wema wako umekuponza!hakuwa na shida ya xul huyo,she wanted to use u
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom