hivi kwa nini waafrika kuzimia ni ngumu sana kwenye vipigo

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
3,613
8,749
ili swali najiuliza sana yani ukilinganisha na wenzetu ambao sio asili ya afrika.unaweza kumpiga mzungu ngumi tatu za kutosha muda sio punde kazimia.
ila huku kwetu mwizi anatandikwa na wananchi kama mia lakini bado yupo tu.kipondo cha FFU,polisi au wajeda lakini bado hupo tu.
au tuna nguvu za ajabu
 
Nishawahi rusha ngumi ambayo ilienda kwa speed ya mita 50 kwa sekunde yule mtu alizima hapo hapo,tena usoni. Kutokea siku hiyo niliapa sita kuja kulisha ngumi tena kwa mtu yeyote yule. Hasira hazina maana unaweza ua.
 
nadharia feki hii...

angalia wacheza mieleka, kuna wazungu wacheza mieleka

mtu kuwa mkakamavu ina sababu zake wala haina uhusiano na rangi ya ngozi
 
ili swali najiuliza sana yani ukilinganisha na wenzetu ambao sio asili ya afrika.unaweza kumpiga mzungu ngumi tatu za kutosha muda sio punde kazimia.
ila huku kwetu mwizi anatandikwa na wananchi kama mia lakini bado yupo tu.kipondo cha FFU,polisi au wajeda lakini bado hupo tu.
au tuna nguvu za ajabu
Mkuu hujaangalia kwenye maombolezo ya Mzee Lowasa!?
 

Attachments

  • 5632004-9196139815612afc06f7b8b11a6c961f.mp4
    2.5 MB
ili swali najiuliza sana yani ukilinganisha na wenzetu ambao sio asili ya afrika.unaweza kumpiga mzungu ngumi tatu za kutosha muda sio punde kazimia.
ila huku kwetu mwizi anatandikwa na wananchi kama mia lakini bado yupo tu.kipondo cha FFU,polisi au wajeda lakini bado hupo tu.
au tuna nguvu za ajabu
Na ukizima ndo hauwaki tena
 
Back
Top Bottom