Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Tanzania nzima hatujawahi kuwa TV au redio ya watanzania, zote ni vyombo vya propaganda vya CCMTIV. Angekuwa Kanumba au LULU ungeona, tusingelala. Gqzeti ni mwanahalisi tu.
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Zipo kwenye eneo la tukio na zimesimamisha vipindi vyengine vyote
it is sad; badala ya mambo kama haya kuleta umoja ndiyo yanaonesha jinsi tunavyozidi kuwa tofauti!!!
Laana ya kuchoma Makanisa itawaandama mpaka mtakapotubu. POLENI SANA.
watanganyika acheni ujinga hapa kwa taarifa yenu miongoni mwa maiti zilizo patikana wamo watanganyika wenzenu na inabidi tuwafukie leoleo usiku kwa kukosa wa kuwatambua hii ni ajali usishangae ukakuta unapewataarifa mmoja ni ndugu yako wa damu . Sisi sote tutakufa ila kila mmoja na staili yake so usiwe mjinga katika maafa. ANGALIA LINK HAPO chini sio wa znz peke yao hili ni janga.
ZanziNews Blog: Picha ziadi maafa ya meli
it is sad; badala ya mambo kama haya kuleta umoja ndiyo yanaonesha jinsi tunavyozidi kuwa tofauti!!!
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Let them die and disappear. I hate Zanzibarians forever.
Let them die and disappear. I hate Zanzibarians forever.
Zipo kwenye eneo la tukio na zimesimamisha vipindi vyengine vyote