Hivi kwa nini TV za Bara zinadharau majanga yanayotokea visiwani Zanzibar?

silent lion

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
1,161
1,539
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
 
Nimemsikia mmiliki wa meli akisema kuwa kwa kuwa ajali imetokea kwenye 'maji ya bahari ya Zanzibar', inakuwa vigumu vikosi vya uokoaji vya Bara kwenda kwenye eneo la tukio. Bila shaka hata TV za Bara zinapata wakati mgumu kuingia kwenye 'maji ya Zanzibar'! Mungu tusamehe tuurudishe Muungano!
 
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u
Muiteni mama ............. aka bimkora awasaidie,si mnataka kuvunja muungano?
 
nimemsikia mmiliki wa meli akisema kuwa kwa kuwa ajali imetokea kwenye 'maji ya bahari ya zanzibar', inakuwa vigumu vikosi vya uokoaji vya bara kwenda kwenye eneo la tukio. Bila shaka hata tv za bara zinapata wakati mgumu kuingia kwenye 'maji ya zanzibar'! Mungu tusamehe tuurudishe muungano!
kwahiyo muungano basi
 
Yaani huku Unguja hivi sasa ni hekaheka kubwa kila mtu yuko na simanzi. Cha ajabu ukiangalia stesheni za Bara zinapiga ngoma kama vile hakuna kilichotokezea. Jee huu ni uungwana? Mara ile tulipata msiba wabara wao wakaendelea na mashindano yao ya kihuni, leo hii wanapiga ngoma halafu ndo ndugu zetu hawa. Shame on u

Acha upuuzi, watu wapo kwenye simanzi na bize kushughulikia tatizo ww unaleta uchochezi wa kipuuzi
 
Acha upuuzi, watu wapo kwenye simanzi na bize kushughulikia tatizo ww unaleta uchochezi wa kipuuzi

Sio uchochezi ndugu ila sio jambo jema kupiga ngoma kipindi kama hichi. Nimekutana na mzee mmoja bandarini analia kwani mwanawe ni mmoja wa abiria na hajui kama yu hai au amekufa. Sasa wakati mzito. Na vyombo vya habari vinatakiwa vijue hilo
 
Hilo ni pigo la kuchoma makanisa huku mkifurahia. Mungu mkubwa. . . . . .
 
Hiyo ni nchi nyingine haituhusu,hata mama karume analitambua hilo
 
Ila wajameni sio sawa, yani kama mtu hatumii internet hawez kujua nini kimetokea.! Tv za bara hata kupitisha subtitle za breaking news wapi..lol tanzania hii
 
Ila wajameni sio sawa, yani kama mtu hatumii internet hawez kujua nini kimetokea.! Tv za bara hata kupitisha subtitle za breaking news wapi..lol tanzania hii

hivi hujui kuwa reporter wa TV kutoka mainland akienda huko anadai posho ya kuwa nje ya nchi?
 
Back
Top Bottom