Tunaendekeza imani hizi kwa sababu,ushirikina hutoa majibu ya maswali magumu haraka (huku tukiwa tumejidanganya). Mfano; ili nipande cheo namloga bosi wangu basi , Biashara ngumu nakwenda Bagamoyo kwa babu; nataka kuchimba madini, namtafuta albino fulani basi nawahi mererani.