yapo ila kwa vijijini sio mjini.
Hata mjini yapo. Tena mjini ndo mengi zaidi kuliko hata vijijini. Tabia haina kwao!
yapo ila kwa vijijini sio mjini.
Umri wangu ni mara mbili ya umri wako. Ktk familia yetu sikuwahi kushuhudia ugomvi kati ya baba na mama....ingawa mikwaruzano ilikuwepo.we katavi una umri gani!! manake hata ukisema miaka mitatu wapo watoto kibao hushuhudia wazazi wao kugombana, sasa we umezaliwa na kukulia jamii gani unauliza swali kam hili!
we katavi una umri gani!! manake hata ukisema miaka mitatu wapo watoto kibao hushuhudia wazazi wao kugombana, sasa we umezaliwa na kukulia jamii gani unauliza swali kam hili!
mura mupenzi wako kama humupigi humupendi mura....kure kwetu bunda tuna wachapaga sana....ukimchapa vizuri anaenda kuwa hadisia wenzie mume wake ana mupenda mura....hiro rimura kwenye huo wimbo nimerifagiria sana
Lakini mengine yanongezwa kama chumvi jamani..... Hivi ukifanyiwa hayo umepata kuchukuwa kioo na kujiangalia wewe, au unazidi tu kumsema mwenzio tena bila hatua yeyote ya kumkalisha.....?
na usiwe naro mura! ukireta mambo ya kubusu busu kwa hawa watu batakupanda kwa kichwa mura...
we katavi una umri gani!! manake hata ukisema miaka mitatu wapo watoto kibao hushuhudia wazazi wao kugombana, sasa we umezaliwa na kukulia jamii gani unauliza swali kam hili!
du!!!