BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Mtu anapigwa ban halafu anafungua ID nyingine, Au kuna watu wana ID kibao.
Mi naona hakuna mana ya kupigana ban..., Tuache watu watoe mapovu yao tu. Hiyo ndio Democrasia. Otherwise zitakuwa ni nidhamu za woga tu. Kuna haja ya kuogopa watu ambao hawaogopeki!!.
Watu wajiachie......, kama mtu kateleza na moderator ameona sio sahihi hiyo post kuwepo, aifute tu, sio kupigana ban.
Mi naona hakuna mana ya kupigana ban..., Tuache watu watoe mapovu yao tu. Hiyo ndio Democrasia. Otherwise zitakuwa ni nidhamu za woga tu. Kuna haja ya kuogopa watu ambao hawaogopeki!!.
Watu wajiachie......, kama mtu kateleza na moderator ameona sio sahihi hiyo post kuwepo, aifute tu, sio kupigana ban.