Hivi kuna Uwezekano wa Serikali tukufu Kutengeneza Skendo yenye kugusa Hisia za watu ili kumkomoa mtu?

5 Nyingi

JF-Expert Member
Nov 15, 2023
247
594
Inawezekana kweli? Yani asubuhi unakuta vyombo vya habari vimepambwa na habari 5 Nyingi "Atuhumiwa Kubaka, Aliyebakwa Asimulia Kilicho tokea"

Halafu eti habari hiyo iwe ya uongo yani waitunge ili kukutoa kwenye reli.

Mimi siamini kama serikali ina muda huo wewe je?
 
Back
Top Bottom