Hivi kuna Sababu zozote kwa Simba kuacha kuutumia Uwanja wa Chamazi?

babu onyango

JF-Expert Member
Jan 12, 2023
334
813
Japo mimi ni utopolo lakini hawa ndugu zetu wamezidi umbumbumbu. Hivi hawa viongozi wa simba nani kawaloga? Hivi wanashindwa vipi kuuchagua uwanja wa Chamazi kwa ajili ya mechi zake za nyumban?

Je wana sababu yoyote ya msingi? Hivi timu kuipeleke mkoani kuikodishia hoteli, kuikodishia uwanja wa mazoezi, kusafirisha viongozi na mashabiki, hizi gharama hawaoni km ni kumbebesha mzigo Mo dewj?

Ok njoo sasa kwenye kiwanja wa mechi wenyewe cha Jamhuri ni utopolo mtupu, yani ni mwendo wa butua butua.

Je uongozi wa Simba umeona kabisaa ujiongezee gharama za matumizi kwa ajili ya kwenda kupoteza points huko morogoro?

Nina wasiwasi na hawa viongozi wa Simba inaweza kuwa sio wenzetu hawa
 
Sioni sababu kwakweli...sijajua sababu..au wanadhani majini yako kwny kona zote za vibendera?

Huo uwanja wa sokoine utatuzamisha..hakuna timu ya kariakoo au tuseme za daslamu ambazo ziko comfortable kwnye viwanja wa vya mikoani.

Angalia matokeo ya timu zote, huu ni utopolo walai..
 
Japo mimi ni utopolo lakini hawa ndugu zetu wamezidi umbumbumbu. Hivi hawa viongozi wa simba nani kawaloga? Hivi wanashindwa vipi kuuchagua uwanja wa Chamazi kwa ajili ya mechi zake za nyumban?

Je wana sababu yoyote ya msingi? Hivi timu kuipeleke mkoani kuikodishia hoteli, kuikodishia uwanja wa mazoezi, kusafirisha viongozi na mashabiki, hizi gharama hawaoni km ni kumbebesha mzigo Mo dewj?

Ok njoo sasa kwenye kiwanja wa mechi wenyewe cha Jamhuri ni utopolo mtupu, yani ni mwendo wa butua butua.

Je uongozi wa Simba umeona kabisaa ujiongezee gharama za matumizi kwa ajili ya kwenda kupoteza points huko morogoro?

Nina wasiwasi na hawa viongozi wa Simba inaweza kuwa sio wenzetu hawa
Wanaogopa eti Yanga wameweka mazondiko Yao hapo
 
Sioni sababu kwakweli...sijajua sababu..au wanadhani majini yako kwny kona zote za vibendera?? Huo uwanja wa sokoine utatuzamisha..hakuna timu ya kariakoo au tuseme za daslamu ambazo ziko comfortable kwnye viwanja wa vya mikoani..angalia matokeo ya timu zote..huu ni utopolo walai..
Wenzio wanadai eti chamazi wanarogwa sana
 
Japo mimi ni utopolo lakini hawa ndugu zetu wamezidi umbumbumbu. Hivi hawa viongozi wa simba nani kawaloga? Hivi wanashindwa vipi kuuchagua uwanja wa Chamazi kwa ajili ya mechi zake za nyumban?

Je wana sababu yoyote ya msingi? Hivi timu kuipeleke mkoani kuikodishia hoteli, kuikodishia uwanja wa mazoezi, kusafirisha viongozi na mashabiki, hizi gharama hawaoni km ni kumbebesha mzigo Mo dewj?

Ok njoo sasa kwenye kiwanja wa mechi wenyewe cha Jamhuri ni utopolo mtupu, yani ni mwendo wa butua butua.

Je uongozi wa Simba umeona kabisaa ujiongezee gharama za matumizi kwa ajili ya kwenda kupoteza points huko morogoro?

Nina wasiwasi na hawa viongozi wa Simba inaweza kuwa sio wenzetu hawa
Ukiachana na swala la shirki hakuna sababu ya maana simba pia intelligent yao sio nzuri kuna shida kwenye uongozi.
 
Japo mimi ni utopolo lakini hawa ndugu zetu wamezidi umbumbumbu. Hivi hawa viongozi wa simba nani kawaloga? Hivi wanashindwa vipi kuuchagua uwanja wa Chamazi kwa ajili ya mechi zake za nyumban?

Je wana sababu yoyote ya msingi? Hivi timu kuipeleke mkoani kuikodishia hoteli, kuikodishia uwanja wa mazoezi, kusafirisha viongozi na mashabiki, hizi gharama hawaoni km ni kumbebesha mzigo Mo dewj?

Ok njoo sasa kwenye kiwanja wa mechi wenyewe cha Jamhuri ni utopolo mtupu, yani ni mwendo wa butua butua.

Je uongozi wa Simba umeona kabisaa ujiongezee gharama za matumizi kwa ajili ya kwenda kupoteza points huko morogoro?

Nina wasiwasi na hawa viongozi wa Simba inaweza kuwa sio wenzetu hawa
Ndio, ni kwasababu wanaigopa Yanga
 
Sioni sababu kwakweli...sijajua sababu..au wanadhani majini yako kwny kona zote za vibendera?

Huo uwanja wa sokoine utatuzamisha..hakuna timu ya kariakoo au tuseme za daslamu ambazo ziko comfortable kwnye viwanja wa vya mikoani.

Angalia matokeo ya timu zote, huu ni utopolo walai..
Mngeenda hata Arusha kule karatu, wana kiwanja kizuri sana Black Rhino. Angalau team ingecheza ikiwa comfortable.
 
Sioni sababu kwakweli...sijajua sababu..au wanadhani majini yako kwny kona zote za vibendera?

Huo uwanja wa sokoine utatuzamisha..hakuna timu ya kariakoo au tuseme za daslamu ambazo ziko comfortable kwnye viwanja wa vya mikoani.

Angalia matokeo ya timu zote, huu ni utopolo walai..
Yanga kampiga mtu tatu hapo hapo Morogoro.
 
Back
Top Bottom