chloe.obrain
JF-Expert Member
- Feb 25, 2010
- 391
- 20
hehehehehe nimeipenda hiyo hapo kwenye red.
Direct translation, Da Womanizer, ha ha ha!
hehehehehe nimeipenda hiyo hapo kwenye red.
Kitchen Parties zimeshika kasi.....hata mashankupe, mashangingi, maveterani yanayojua A to Z and beyond eti yanafanyiwa kitchen party yakiwa yanaolewa!!! nafikiri imekaa kibiashara zaidi=kukusanya zawadi kwa binti/mama/muolewaji. nimejaribu kuhesabu ndoa za marafiki zangu za hivi karibuni...nimegundua zaidi ya nusu zimesambaratika====nafasi ya kitchen ipo wapi?
kuna mama mmoja maarufu sana wa kusherehesha hizo kitchen party Dar,yeye hajaolewa na ana watoto wawili kila mmoja na baba yake,i fail to imagine anafundisha nini kwa maneno na matendo kama si 'akikuzingua rudi nyumbani?'.
siku hizi kuna matangazo lukuki kwenye media yanayoitwa 'VUNJA UKIMYA', je sasa serikali ime-admit mafundisho ya ndoa hakuna hadi watu wa marekani wanatufunda? maana mwisho wa matangazo utasikia 'tangazo hili limewajia kwa hisani ya watu wa marekani'.
.................i submit...........
Kama ni mafundisho, hivi huyu mama aliyeishi maisha yake yote anaweza kufundishika kwa masaa mawili au manne ya siku hii moja na akabadilika kuwa bora zaidi!
The finest, nataka kuamini Msikonge ametaja huo muda akiwa ana 'refer' muda unaochuka kufanyika party tangu kufungua hadi kufunga party! Ki-msingi ni muda mfupi sana too short to imact any noticiable behavioral changes! All in all, ni utumiaji mbaya wa resources, na kama alivyogusia, kuongeza wigo wa zawadi, na pengine 'ufahari'!Honestly huwa sioni umuhimu wake labda wanawake watujuze maana wao ndio wahusika zaidi kwenye hili halafu kwenye red hapo najaribu kufikiria ratio ya muda uliyoitaja sijui kama kwa masaa manne anakuwa bora zaidi:confused2: ni mtazamo tu
The finest, nataka kuamini Msikonge ametaja huo muda akiwa ana 'refer' muda unaochuka kufanyika party tangu kufungua hadi kufunga party! Ki-msingi ni muda mfupi sana too short to imact any noticiable behavioral changes! All in all, ni utumiaji mbaya wa resources, na kama alivyogusia, kuongeza wigo wa zawadi, na pengine 'ufahari'!
1) ni party kama zilivyo nyingine i.e birthday , anniversary n.k
2) hiyo kuchangishana ni utaratibu waliojiwekea kina mama kila inapotekea shughuli kama hiyo, kwajili ya vyombo vya binti kuanzia maisha
3) sio wanawake wote wanaopata bahat ya kufunga ndoa, siku hii unafurahi pamoja na wanawake wenzio kwa kuwa legally announced Mrs some one,
4) huwa sio mafundisho in such, ni kushare experience na wanawake wenzio ya maisha ya ndoa na wanawake wenio.
NOTE sio wote wanaofunga ndoa ni wenyeji katika hii, wengine huwa ni wageni kabisa na that day inakuwa ni kwaajili ya kufundishwa kweli.
my self nimefanyiwa hiyo, hakuna jambo baya linalofanyika hapo wala nini! ni mazungumzo ya kawaida tuuHapa kwenye kitchen party hakuna la maana linalofanyika ila ni starehe za kibongo zisizo na maana yoyote na utumiaji mbovu wa rasilimali.
Hapo kama ana mtoto shuleni ada wakati mwingine mtu hajamaliza lakini utakuta anafuatwa atoe mchango wa kitchen party.
Cha ajabu ni ukiona yanayofanyika huko hutakaa umheshimu mtu(mmama) kwa heshima uliyokuwa unamheshmu pale mwanzoni.