Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,892
Wakuu nimekuwa nikisikia dada zangu wakifanyiwa kitchen party pale tu wanapokaribia kuolewa hata kwa yule aliyekwisha zaa anapofika hatua ya kubariki ndoa yake anafanyiwa kitchen party.Sasa swali Huyu ambaye alishaolewa bila harusi kitchen party ya nini?
Je kama kwenye kitchen party wanafundishwa maadili ya kumheshimu mume wake mbona wakiolewa wanayasahaho yote bila hata kuyafuata walioambiwa na waliowafanyia kitchen party?
Kitchen Party ni utamaduni wetu au umeigwa kwenye mitandao.
Wakuu nisaidieni maana yake naweza nisisfanyiwe kitchen party siku nikipata mwenza.
Je kama kwenye kitchen party wanafundishwa maadili ya kumheshimu mume wake mbona wakiolewa wanayasahaho yote bila hata kuyafuata walioambiwa na waliowafanyia kitchen party?
Kitchen Party ni utamaduni wetu au umeigwa kwenye mitandao.
Wakuu nisaidieni maana yake naweza nisisfanyiwe kitchen party siku nikipata mwenza.