Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 131
hakuna hata siku moja mwanamke mwenye busara atamfunza binti wizi kwenye ndoa, ukiona hivyo ujue ni tabia ya mtu binafsi tuHapo kwenye red unamaanisha nini haswa? Au ni namna ya kufanya wizi na kuficha siri?