Hivi Kama Inatokea Hivi! Inakuwaje?

Mkeo amepata nafasi ya kwenda kusoma, Pale nyumbani mna watoto wawli, mnaamua kuagiza mfanyakazi kutoka kwenu kijijni kuja kuwasaidia kazi, na siku ya kuja mfanyakazi unaenda wewe mwenyewe kumpokea, kwani mkeo alikuwa anakamilisha taratibu ili siku mbili tatu asepe.

Tahamaki ulivyomuona binti mwenyewe mapigo ya moyo yakaongezeka kasi, kwa jinsi binti alivyo mzuri.

Wasifu wa binti:
-Anaonyesha kama ana miaka 18
-Alivyotabasam tu vishimo vidogo vikatokea kwenye mashavu
-Kifuani kitu saa sita
-Tumbo lake dogo kama ajala akashiba
-Rangi yake maji ya kunde, macho kama amekula kungu manga
-Kwa ujumla binti ana mzuto wa kimapenzi

Wasifu wa mkeo:
-Ana miaka 30, lakini kama ana miaka 55
-Sura yake imemkomaa kwa ajili ya kubadili cream, mara movate, carolight n.k
-Minido hiyoo, tumbo ndio usiseme kama kala ubwabwa wa shuhurini
-Nyuma amepigwa pasi, viguu kama fito.
-Akiongea mkali kama anatoa amri jeshini.

We mwenyewe sasa handsome boy una miaka 40 lakini kama 25.
Je! mkeo atakubali ubaki na huyo mfanyakazi kweli?

NB: Mkeo uliozeshwa na wazee kijijini wala hakuwa chaguo lako

Hahahaha,hapo mtihani unakuja ukiulizwa je,...
Huyo mkeo ulilazimishwa kumuoa?
Kama hukulazimishwa na ulimpenda,basi siku zote visualize enzi unakutana nae na assume yuko hivo
saivi,.....
 
Hahahaha,hapo mtihani unakuja ukiulizwa je,...
Huyo mkeo ulilazimishwa kumuoa?
Kama hukulazimishwa na ulimpenda,basi siku zote visualize enzi unakutana nae na assume yuko hivo
saivi,.....

Clemmy mbona mada inajieleza, wazazi walinilazimisha nimuoe chaguo lao, nami kwa kuogopa radhi za wazee ikabidi niwaridhishe.
 
Tamaa hiyooooooo. Ukijzoesha kila unaemuona utamtamani. Mwanamume ni kujifanya ghali na sio kukimbilia midondo. Kuwa kama simba. Huli mpaka una njaa.
 
Tamaa hiyooooooo. Ukijzoesha kila unaemuona utamtamani. Mwanamume ni kujifanya ghali na sio kukimbilia midondo. Kuwa kama simba. Huli mpaka una njaa.
Sawa mkuu hata huyo simba akiwekwa banda moja na swala hapo sijui unategemea result ipi?
 
Huyo house girl yeye kakubaliana nawe?au kwa sababu tu unamlisha, unamlipa na ni baba mwenye nyumba na binti katoka kijijini yawezekana hajui hata namna ya kurudi kwao,ndo unaitumia hiyo nafasi?ndo maana kuna kesi za ajabu siku hizi, wanaume msijifikirie wenyewe msichana wa kazi ni mtoto unapewa umtunze kama mwanao. Me yakinikuta wala sighaili naenda shule, maana kama kampenda hata ukimrudisha yawezekana akamfuata kwa nini kujiumiza.yakitokea basi nikirudi nitajua cha kufanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom