kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Mimi nimeshawagundua mnalitaka hilo jimbo [color=redubovu barabara ni swala la dsm nzima hivi mmekwenda posta , kariakoo barabara ya uhuru haipitiki[/color]. Mbona hiyo mama tunamwana kwenye magszeti, bungeni, kwny mikutano ninyi mnakaa wapi au ni like kabila lisiloongozwa na wanachama ua mnalo lenu jambo. Nakuambia mama huyu ni Mchapa kazi na lazima tutamrudisha. Acheni unafiki na mjiandaa kama mnalitaka jambo let u hatukupi
...kwenye nyekundu "ni sawa nakusema kuwa ukiona kichaa akula mavi na wewe utayala"
...maeneo uliyoyataja yako tofauti na barabara za Jimbo la Ukonga zinazolalamikiwa...,
Kwanza huyu mbunge wa Ukonga hawezi hata kusimamia (mawazo elekezi) kwa mirada ambayo ipo kwenye Jimbo lake la Ukonga, kwa mfano kutoka Ukonga Mombasa kuelekea Moshi Bar kuna kipande cha rami kama kilometa moja kimejengwa mwaka jana, kwa sasa hicho kipande cha barabara ya rami kimeanza kuwa na mashimo, pia mifereji imejaa matope, sehemu nyingine hiyo rami imefunikwa na michanga mpaka rami haionekani...
Pili: kuna machinjio ya Mazizini ni machafu kupita kiasi, wakati mvua njia ya kuingia kwenye machinjio inajaa matope ya kinyesi, wakati huo majitaka yametwama kwenye eneo la machinjio na barabara/njia zinazozunguka eneo hilo!
Tatu: Miradi ya uzoaji taka wameifilisi yeye Mbunge na watendaji wake, "mabehewa taka yalioyonunuliwa kwa pesa ya TASAF wameyatelekeza..., sasa wametafuta watu binafsi wa kuzoa taka...
Nne: Miradi ya maji ya visima wameihujumu, na kutafuna fedha za miradi....
n.k