unamaana gani kusema sheria hakuna? cha muhimu ni kwamba kuna kosa limefanyika ambalo TEA inakubali kupokea electronic evidence, hivyo cyber crime inaweza kushitakika kama makosa mengine tu.Mbona sheria sa cyber crime hakuna??.
tatizo lako wewe unataka sheria specific inayotaja jina kabisa "cyber crime Act".....kwani kinachofanyika kwenye cyber crime ni nini? ni vitu kwa mfano theft, missappropriation of public funds, fraud etc, na makosa hayo yote yanashitakika kwa kutumia cap. 16, No. 11 ya 2007 PCCB na zingine, ila cha muhimu ni kwamba wakati ule wa kutoa ushahidi ndio TEA inaingia kwasababu TEA inatambua electronic evidence kwa sasa. sasa hata wakileta sheria maalumu kwa cyber crime kuna umuhimu gani wa ziada wakati kwa sheria zilizopo makosa ya cyber crime yanashitakika vizuri tu? labda wewe uniambie ni kosa gani la cyber ambalo litashindwa kushitakika kwa sheria zilizopo kwasababu ya kukosekana kwa hiyo specific Act unayoitaka.Hute embu nitajie hyo sheria na imeanzshwa lini, na kwa kiwango gani inacover cyber crime?
unaongelea FIU (Financial Intellingence Unit?)...au nini....Kuna kitengo cha Money Laundering ila sio sehemu ya polisi. Wamo polisi, usalama wa taifa na PCCB na wengine! Nadhani wanahusika na uchunguzi wote wa Cyber crimes. Kimeanzishwa kisheria na ofisi zao zipo wizara ya fedha.
tatizo lako wewe unataka sheria specific inayotaja jina kabisa "cyber crime Act".....kwani kinachofanyika kwenye cyber crime ni nini? ni vitu kwa mfano theft, missappropriation of public funds, fraud etc, na makosa hayo yote yanashitakika kwa kutumia cap. 16, No. 11 ya 2007 PCCB na zingine, ila cha muhimu ni kwamba wakati ule wa kutoa ushahidi ndio TEA inaingia kwasababu TEA inatambua electronic evidence kwa sasa. sasa hata wakileta sheria maalumu kwa cyber crime kuna umuhimu gani wa ziada wakati kwa sheria zilizopo makosa ya cyber crime yanashitakika vizuri tu? labda wewe uniambie ni kosa gani la cyber ambalo litashindwa kushitakika kwa sheria zilizopo kwasababu ya kukosekana kwa hiyo specific Act unayoitaka.
Ni kweli Tanzania hatuna Cyber Law!. Hata permisibility ya e-evidence ni questionable!.Mbona sheria sa cyber crime hakuna??.
Cybercrimes are defined as: "Offences that are committed against individuals or groups of individuals with a criminal motive to intentionally harm the reputation of the victim or cause physical or mental harm to the victim directly or indirectly, using modern telecommunication networks such as Internet (Chat rooms, emails, notice boards and groups) and mobile phones (SMS/MMS)"
sasa, naomba niambiwe law hipi hizo hapa bongo zina cover cybercrime na msinipe hizo story za Postal and Communications act, it doesnt cover cybercrime
halafu na wewe mkuu, usifananishe electonic evidence na cyber crime. kama kuna records kwenye kompyuta kuwa una kosa, inakuwa evidence, not an act of crime
cybercrime ni uhalifu wa kuelekea utumiaji wa kompyuta au kutumia kompyuta kufanya uhalifu. mfano ni viruses, piracy na phishing. niambie wapi sheria zetu zinataja tu kuhusu haya mambo
FBI ndio wanaowatrain,Wapo pia waliojifunza South Africa,Singapore na UK
Ukweli wapo fit ila vifaa na Funds ndio Tatizo,lakini wana uzoefu kama wazungu kwani ikumbukwe kuwa wanafanya Mitihani kama hao wazungu na Pia Jeshi letu alipeleki Vyihioo huko. Hii ni sambamba na Serikali yetu inavyotuma maofisa wa vyombo vingine vya ulinzi na usalama kule Cuba,Israel,na UChina