THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Kama chadema wanaitaka kweli nchi hii basi waache ukristo na uchaga
kiwe ni chama cha demokrasia ya kweli..
kiwe ni chama cha demokrasia ya kweli..
Wale magamba waliokutuma upost huo upuuzi wenu kawaambie kuwa sisi khatukopeshi tunakuanika na kukusurubisha live kwamba wajinga wajinga vilaza kama wewe unayejiita Free World hamna lolote hamna jipya na Sisiemu yenu,kilichobaki ni nyinyi kujiaandaa kuwa chama cha Upinzani SISIEMU na Mpenzi wake KAFUU ndoa yenu itadumu milele kama wote mkiwa vyama vya upinzani. Kawaambie akina Nepi na vilanza wenzio kuwa tuko macho na makini tofauti na mnavyotudhania, hapa ni Titi fo Tat, Nyambafu mmezoea kuiba kura na kuwadanganya maskini wa Tanzania, mkwaka 2015 itakuwa ndo mwisho wenu, washeku nyie mmezoea vya kunyongea gizani,2015 tutawachinjia baharini hakyamungu tunaapa na lazima 2015 Raisi wa nchi awe mkristo mkatholiki.
short sighted. Tofautisha jukwaa huru (Jf) na Chama cha siasa (CDM).
mimi ninachokiona hakuna jipia la maana la kutegemewa.hawa viongozi wa chadema leo ndo wametoka hukohuko ccm,kadhalika wametokana na jamii hii hii ya watanzania walio wengi ambao wanapigania maslahi zaidi ya kitu kingine chochote.halafu hawa jamaa wenyewe wana tabia ya kulaumu kila kitu kinachofanywa na chama kingine .tabia ya kulaumu wenzako kwa kila wanachokifanya kana kwamba wewe ndo mkamiilifu pekee na peke yako tu ni tabia ya kinafiki na dalili ya kwamba lawama zinazotolewa leo kwa serikali ya ccm huenda zikazidi kwa serikali ya chadema.mimi naona njia pekee ya kuinusuru hii nchi ni watanzania kwa ujumla wetu bila kujali vyama tukawa waadilifu,tukatambua wapi tunatakiwa kwenda na kisha kuanza mwendo.Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
Mshukuru sana Mungu wako kwa kukufanya wewe kuwa Long sighted!
Sisi tunapata mengi sana hapa JF yanayohusu CDM na mikakati yenu kama Wakristo. Failures ndio Dira yenu, kiko wapi CCW, CCK na sasa CDM mwelekeo ndio huo huo.
Labda kwa kukusaidia kuanzia sasa Washauri hao Ma Admin waanze ku filter Dini zetu vinginevyo muwe mnakutana Kanisani ili kuficha uozo wenu!
Inatia moyo kwamba bado wapo watu wenye akili kama zako hapaa TZ na JF hasahasa. Infact CHADEMA wanapigania kunyang'anya ulaji 'wengine' ili wapewe 'wao'!mimi ninachokiona hakuna jipia la maana la kutegemewa.hawa viongozi wa chadema leo ndo wametoka hukohuko ccm,kadhalika wametokana na jamii hii hii ya watanzania walio wengi ambao wanapigania maslahi zaidi ya kitu kingine chochote.halafu hawa jamaa wenyewe wana tabia ya kulaumu kila kitu kinachofanywa na chama kingine .tabia ya kulaumu wenzako kwa kila wanachokifanya kana kwamba wewe ndo mkamiilifu pekee na peke yako tu ni tabia ya kinafiki na dalili ya kwamba lawama zinazotolewa leo kwa serikali ya ccm huenda zikazidi kwa serikali ya chadema.mimi naona njia pekee ya kuinusuru hii nchi ni watanzania kwa ujumla wetu bila kujali vyama tukawa waadilifu,tukatambua wapi tunatakiwa kwenda na kisha kuanza mwendo.
umeona eheeh?
Ptuuh! Mungu apishe mbali. Na hizo ndoto zao kamwe hatitakaa zitimie.
Ukisoma hoja zao zimetawaliwa na jazba, matusi, dharau na ukristo mtupu. Hata hao viongozi wao waandamizi huoni wakikemea. Bado sana hawa jamaa.
umeona eheeh?
Ptuuh! Mungu apishe mbali. Na hizo ndoto zao kamwe hatitakaa zitimie.
Ukisoma hoja zao zimetawaliwa na jazba, matusi, dharau na ukristo mtupu. Hata hao viongozi wao waandamizi huoni wakikemea. Bado sana hawa jamaa.
abatoba!kuandika kwenyewe hujui nashukuru kwa kuonyesha uwezo wako wa mwishoo kufikiri (jipia) ndio nini?
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
Ndio, inawezakana kama wotee tukishiriki kuleta mabadiliko.Tanzania itakuwa kama BOTSWANA ndani ya muda mfupi.