Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
Kitakuwa ndio chama chako tawala. Hapo huna ujanja itabidi uhamie huko Chadema.Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
EEH JAMANI HALI HII HATUONANI,JE TUNGEONANA??
HALI HII HAMJACHUKUA NCHI JEE MKICHUKUA??
HALI HII NI SIASA JE NINGEKUCHUKULIA UBAVU WAKO WA MAISHA??
POLE POLE,KIDOGO KIDOGO NDUGU
JAZBA NA KIBURI SIO UUNGWANA,,
HATA MBOWE NA SLAA HAWAPO IVO
:bump2::bump2:uke::sorry:
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
Hvi wanao changia humu wote ni cdm?
Nakushauri uende ukamsalimie Nape!
mkuu, hicho ndiyo ninachoshindwa kuelewa...yaani yeyote anayechangia akiikosoa(kuisahihisha serikali) eti ni chadema? Afterall kuna ubaya wakiwa chadema??
Hawa wapuuzi wawe wanafikirisha na akili zao.
kama wananchi watakipa fursa basi watakuwa wameona kinafaa. labda ungeuliza Chadema wangeipindua serikali na kushika dola je, hali ingekuwaje? swali zuri zaidi ni sababu zipi zitawafanya wananchi waamue kukipa utawala chadema?
tatzo lako una jazba sana...!!
Sasa kinachokufanya ukatae kua wewe sio pro-chadema ni nin??
Chadema kuchukua utawala wa nchi ni Nooooooo jiulize mko wangapi!!!wenye ndoto za vitoto vichanga
unasikia bibie,..umekuja juzi hapa jamvini, one thing you should know hapa tunaongea kwa ushahidi/vivid evidence..so if you dont again nakushauri, ficha upumbavu wako!
And am not short tempered, i just have quick reaction to bullshit!
unasikia bibie,..umekuja juzi hapa jamvini, one thing you should know hapa tunaongea kwa ushahidi/vivid evidence..so if you dont again nakushauri, ficha upumbavu wako!
And am not short tempered, i just have quick reaction to bullshit!
pia sahau cdm kuchukua nchi hii
maana inaonesha una interest flan
so forget about it..
Fanya kitu kingine
take this piece of an advice..
Wapendwa,
Nimekuwa nikifuatilia sana mwenendo na hali ya nchi inavyoendelea!
Inavyoonekana by chance or design, mawazo yanayoletwa humu JF yana-impact decision making kwenye system.
Juzi , Nchimbi alisema ' hata watu katika mitandao wanataka...' hapa nikahisi inawezekana kufikia maamuzi yake alipata inputs kutoka kwenye mitandao, JF ikiwa mojawapo.
Ni rahisi kugundua msimamo rasmi wa CHADEMA ukifuatilia comments za watu humu JF ( ambao wengi wao ni Pro-CDM).
Sasa chukulia CDM imeshinda uchaguzi (God Forbid!):
- Hizi dharau na kejeli za kidini na kikanda ndizo zitakuwa order of the day serikalini?
- Wale unprivilleged ambao hata sasa wanachekwa humu JF watasalimika kwenye utawala wa CHADEMA?
- Sioni dalilli wala juhudi yeyote ya viongozi wakuu watarajiwa wa CHADEMA wakijitenga na kejeli hizi, je tutegemee kutoka kwenye utawala huo?
wallahi nchi hii itakuwa roman, wasiokuwa wakiristo watakoma, bora tu tubaki na ccm.