Shantel
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 2,018
- 1,131
Hiyo hali huwa inajitokez ndio mrembo, ila unajipa moyo tu, ni mambo ya mpito kwenye ndoa, jaribu kufikiria mazuri aliyokufanyia, coz, kati ya hayo mabaya unayoyaona kwake lazima kuna mazuri, hakuna binadamu perfect,na uspende kumfananisha mumeo na wanaume wengine kila mtu ni unique in their own way, wanaume wengine wana upendo wa kweli mioyoni mwao lakini hawana mzuka wa kuiga mambo ya kizungu ya kufunguliana milango na mengineyo....but usiwe na wasiwasi itapita wewe ni binadamu na hiyo ni hali ya kawaidasijawah hata kumuona zaid ya tulivykutana kwenye gari basi. Hapa mimi najiuliza kwanini hali kama hii itokee? mbona mume wangu hanijali jamani ama nilikosea kupenda? nimesali sana kaka na nimelia sana tena mpaka nimesema silii tena lakini mume wangu hanionyeshi hata wema ambao wengine wananionyesha.
siyo mwanaume wa kwanza kunitaka huyu huwa naruka viunz sana tu lakni kwanini mume wangu hanion kama n wa thamani kam wengne wanavyoniona?
kaka yangu hebu jiulize wewe kama mkaka hata siku moja mkeo haja kusifia kwa jambo lolote lakin kila siku wanawake unaokutana nao wanakusifu tena kwa vitu ambavyo vipo wazi utajiskiaje?