Nimekaa nimefikiria sana kwamba eti vitoto vidogo vimewalaza watu saa 12 nikajiuliza hivi huko Dar hakuna wanaume kweli mjini mzima unalazwa saa 12 na vitoto visivyozidi mia,
tena mnarudi kujifungia ndani na wake zenu eti kisa vitoto vya Panya Road.
tena mnarudi kujifungia ndani na wake zenu eti kisa vitoto vya Panya Road.