Hi! Mamboz..." naishi ktk nyumba ya kupanga, kuna jirani yangu anaishi na mke wake chumba kinachofuata, kosa ni cku wanapofanya mapenzi yani majirani wote hata usingizi hatupati ni kilio cha utamu kutoka kwa mwanamke na miguno na kidume chake, mwanamke analia kama kapigwa kumbe yupo kwenye malovery, majirani zangu walitaka wamwambie yule dada awe anapunguza kelele me nikawazui sasa jana ucku imetokea tena, je aambiwe?