Katika pita pita zangu nimekutana na hii article Tanzania must stop re-flagging Iran tankers: U.S. lawmaker | Reuters hivi ni kweli jamani?
Tulishaijadili hii ishu few days ago..., ni kweli wairani wamesajili meli zao kwa jina la tz ili kukwepa embargo.....,sasa wewe nani kakuambia kuwa natafuta hii thread hapa.