Kama huyu mzee anapata mashaka na CCM, mimi na wewe ni nani mpaka tuwaelewe?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Jan 9, 2022
449
1,009
Habari JF, katika pita pita zangu nimekutana na hii clip, mzee anaongea kwa uchungu katika mkusanyiko wa kijiji.

Kaenda mbali mpaka kuuliza kwamba Tanzania hii wanaojua kusoma na kuandika ni CCM peke yao tu.

Kama anavyoongea ni kweli, sisi ni nani tusiwe na mashaka na hiki Chama?

 
Back
Top Bottom