vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
mbona mimi niko over 20 na sina boyfriend acha uzushi wewe
Nimesema Mrembo and Over 20. All conditions apply.
mbona mimi niko over 20 na sina boyfriend acha uzushi wewe
sa mkuu,we ulitaka nitongoze wa aina gan?
Nimeipenda hii mkubwaSenator hiyo ni mbinu mojawapo wanaitumia ili kufahamu kama 1.utakata tamaa mapema, 2.kweli unamhitaji, 3.kukujulisha kuwa soko lake liko juu, 4.uko tayari kulipigania penzi lake hata ikibidi kumnyang'anya mtu, 5.kujuwa msimamo wako -ikiwa uko tayari kupora mtu pia utakuwa tayari kuporwa hapo baadae.
Mkuu wakati mwingine dada zetu hupima ni kiasi gani cha userious mtongozaji huwa. So usipokua makini utaambulia manyoya (hutampata ng'o), so kua serious mkubwa!Poleni na makali ya mgao wa umeme wakuu!!naomba kueleweshwa hili suala,kwa nin kila mdada anapopgwa sound na man kwa mara ya kwanza lazima aseme eti ana mpz wake na tena wanapendana sana hata kama hana,afu after somedayz ndio anakukubalia ombi lako,hivi hii nayo huwa ni fashion kwa dada ze2 wajamen?
Senator hiyo ni mbinu mojawapo wanaitumia ili kufahamu kama 1.utakata tamaa mapema, 2.kweli unamhitaji, 3.kukujulisha kuwa soko lake liko juu, 4.uko tayari kulipigania penzi lake hata ikibidi kumnyang'anya mtu, 5.kujuwa msimamo wako -ikiwa uko tayari kupora mtu pia utakuwa tayari kuporwa hapo baadae.
Poleni na makali ya mgao wa umeme wakuu!!naomba kueleweshwa hili suala,kwa nin kila mdada anapopgwa sound na man kwa mara ya kwanza lazima aseme eti ana mpz wake na tena wanapendana sana hata kama hana,afu after somedayz ndio anakukubalia ombi lako,hivi hii nayo huwa ni fashion kwa dada ze2 wajamen?
we dont have to give in so easily coz you will dump us so easily.
Pili tunapenda kuonyesha kuwa, sio wewe wa kwanza kuona kuwa mimi nina stahili kupendwa kuna mwingine alishanipenda hata kama hayupo.
Tatu ni kwamba Labda niliye naye kwasasa hayupo serrious sana na nimekua namvumilia nikisubiri kama kuna mwingine atakuja on the way, ulipokuja wewe nilisita kwanza ili nione how serious you are. will you continue chasing after me?
Nne inaweza ikawa ni issue ya ndoo na kidumu. yaani ninaweza kuwa naye lakini nikiona wewe umekuja vizuri zaidi kisha nikamdump.
Halafu niseme tu kwamba ni vigumu kwa msichana mrembo wa 20 and over awe hana Boyfriend.
think I cannot exhaust the list of reasons.
muosha uoshwa.uwezi kula bila kuliwa one day nawe utaliwa penda usipende!wengine tukisema tuna wapenzi tunamaanisha kweli wapenzi wapo, uking'ang'ania naanza kukupiga mizinga, taratibu utajiondioa mwenyewe
Bado bikra?mbona mimi niko over 20 na sina boyfriend acha uzushi wewe
Ukaribu upi? weeeeee wewesi rafiki wa karibu wa kiume au
si rafiki wa karibu wa kiume au
mi wakiniambiaga hivyo nawajibu hata mimi nina mpenzi ....ngoma dro...twende kazi
Wanataka kuonekana nao wako ktk Demand, hivyo sio ajabu hata wewe uliyemtokea ukawa mmoja wao kati ya watu wanao mtokea kila siku.Poleni na makali ya mgao wa umeme wakuu!!naomba kueleweshwa hili suala,kwa nin kila mdada anapopgwa sound na man kwa mara ya kwanza lazima aseme eti ana mpz wake na tena wanapendana sana hata kama hana,afu after somedayz ndio anakukubalia ombi lako,hivi hii nayo huwa ni fashion kwa dada ze2 wajamen?