Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Poleni na makali ya mgao wa umeme wakuu!!naomba kueleweshwa hili suala,kwa nin kila mdada anapopgwa sound na man kwa mara ya kwanza lazima aseme eti ana mpz wake na tena wanapendana sana hata kama hana,afu after somedayz ndio anakukubalia ombi lako,hivi hii nayo huwa ni fashion kwa dada ze2 wajamen?