raybse
Senior Member
- Oct 22, 2010
- 104
- 14
Kwa kweli ningependa sana kuona CHADEMA wanamaliza tofauti zao na hivi vyama vingine na mwisho kutengeneza kambi moja yenye nguvu ya kupambana na hawa CCM ila bila kucompromise malengo sahii ya kambi ya upinzani Bungeni.
Utengano huu ni kama unaipa advantage CCM!!
Kwa hiyo jamani if posibo viongozi wa Chadema embu lifanyieni kazi hili haraka iwezekanavvyo!!
Utengano huu ni kama unaipa advantage CCM!!
Kwa hiyo jamani if posibo viongozi wa Chadema embu lifanyieni kazi hili haraka iwezekanavvyo!!