Hivi CHADEMA wanarecruit vipi wabunge wao?

Escobar

JF-Expert Member
Sep 16, 2011
574
440
Honestly sehemu kubwa ya wabunge wa CDM imeshiba vibaya kwa kujenga na kuwasilisha hoja zenye mguso wa kipekee kwenye jamii. Ni dakika chache tu Mh. Wenje alikuwa anamwaga facts kuhusu elimu yetu ya shule ya msingi kuwa mtaala unaelekeza kuwa lugha ya kufundishia ni kiswahili wakati wakati huo viongozi wote wa serikali wasomesha watoto wao kuanzia nursery kwenye shule zinazotumia kiingereza kama lugha ya kufundishia! Watu wamekuwa wakiomba mabadiliko katika hili lakini serikali inakataa kuwa kiswahili ndio lugha ya taifa hivyo lazima kiendelee! La pili alilonikosha zaidi ni kwanini wanajeshi wanapewa nafasi ya kununua vitu kwenye maduka yao ambapo wanapata punguzo la bei kwa kuondolewa baadhi ya kodi na wao wanamshahara mikubwa kuliko walimu, kwanini basi na walimu wasifanyiwe hivyo ili nao wapate japo vifaa vya ujenzi kwa bei poa?

This makes sense for sure!
 
Ndugu,

Katika uchaguzi wowote ule ukikosekana rushwa, udini, ukabila na ufisisadi lazima CV ndizo zitakazo tawala. Ninavyofahamu mimi katika CHADEMA hakuna vyote vilivyotajwa hapo juu. Hivyo sifa zilizoko kwa CV ndizo huchukua mkondo wake. Ukisikia yakitamkwa na akina Magamba ni POROJO tu kuvuruga akili za Watanganyika kama ilivyozoeleka.

Hongera Wanachadema na Uongozi wa CDM kwa Ujumla.

Imani yetu hamtotuangusha.
 
majini na mashetani kisiwe kigezo cha kumsaidia mtu kuongoza nchi matokeo yake wote tumeyaona umefika wakati tumuweke mungu mbele kuongoza nchi hii kama marais watatu waliotangulia walikuwa wacha mungu.
 
Watu wa mwanza ndio wanamfahamu huyu kijana, huyu alikua hastahili kupewa hata ubalozi wa nyumba kumi.
 
Chadema wanafanikiwa kwa sababu ya ubwege wa CCM.

Huwezi kuwa na chama chenye umri wa zaidi ya miaka 30 lakini kikawa na wabunge wanaosoma kwa taabu.

Chama kisichokuwa na uwezo wa kutafiti mambo kabla ya kuamua.

Chama kinachotumia uongo kikidhani ndo propaganda.

Aaah! na mengine ya hovyohovyo!
 
majini na mashetani kisiwe kigezo cha kumsaidia mtu kuongoza nchi matokeo yake wote tumeyaona umefika wakati tumuweke mungu mbele kuongoza nchi hii kama marais watatu waliotangulia walikuwa wacha mungu.
hivi wewe umevuta ya wapi leo? Naona umepagawa kabisa. Huu upuuzi naona unasambaza kwenye kila topic.
 
Honestly sehemu kubwa ya wabunge wa CDM imeshiba vibaya kwa kujenga na kuwasilisha hoja zenye mguso wa kipekee kwenye jamii. Ni dakika chache tu Mh. Wenje alikuwa anamwaga facts kuhusu elimu yetu ya shule ya msingi kuwa mtaala unaelekeza kuwa lugha ya kufundishia ni kiswahili wakati wakati huo viongozi wote wa serikali wasomesha watoto wao kuanzia nursery kwenye shule zinazotumia kiingereza kama lugha ya kufundishia! Watu wamekuwa wakiomba mabadiliko katika hili lakini serikali inakataa kuwa kiswahili ndio lugha ya taifa hivyo lazima kiendelee! La pili alilonikosha zaidi ni kwanini wanajeshi wanapewa nafasi ya kununua vitu kwenye maduka yao ambapo wanapata punguzo la bei kwa kuondolewa baadhi ya kodi na wao wanamshahara mikubwa kuliko walimu, kwanini basi na walimu wasifanyiwe hivyo ili nao wapate japo vifaa vya ujenzi kwa bei poa?

This makes sense for sure!

Kwanini unataka kujua recruitment policy ya CHADEMA? CCM je? Wana hadi SHINA lakini wanakutolea FISADI

Lakini haujawaona kwenye Kashfa za UMEME, za BANGI, za MAFUTA ya GENERETA

* RAIS KIKWETE si alikimbiza wanae toka ARUSHA hadi MALAWI? sasa tunagombana kuhusu ZIWA NYASA... hao watoto

Nani atawafuata???
 
Siyo siri Mh. Wenje ametoa mbadala wa kinachoweza kuwa suluhisho la madai ya walimu mbali na kuangalia ongezeko la mshahara pekee.
 
Honestly sehemu kubwa ya wabunge wa CDM imeshiba vibaya kwa kujenga na kuwasilisha hoja zenye mguso wa kipekee kwenye jamii. Ni dakika chache tu Mh. Wenje alikuwa anamwaga facts kuhusu elimu yetu ya shule ya msingi kuwa mtaala unaelekeza kuwa lugha ya kufundishia ni kiswahili wakati wakati huo viongozi wote wa serikali wasomesha watoto wao kuanzia nursery kwenye shule zinazotumia kiingereza kama lugha ya kufundishia! Watu wamekuwa wakiomba mabadiliko katika hili lakini serikali inakataa kuwa kiswahili ndio lugha ya taifa hivyo lazima kiendelee! La pili alilonikosha zaidi ni kwanini wanajeshi wanapewa nafasi ya kununua vitu kwenye maduka yao ambapo wanapata punguzo la bei kwa kuondolewa baadhi ya kodi na wao wanamshahara mikubwa kuliko walimu, kwanini basi na walimu wasifanyiwe hivyo ili nao wapate japo vifaa vya ujenzi kwa bei poa?

This makes sense for sure!

The man is really a great thinker. Ni wachache tuliokuwa na mawazo kama haya japo hii issue ya kundi mojawapo katika jamii (wanajeshi) kupata unafuu wa huduma na bidhaa ikiwemo kusafiri bure kwenye public transport wakati huo huo wakipata mishahara mikubwa imekuwepo kwa muda sasa.

Naamini hili ni wazo zuri sana kwa CCM kulifanyia kazi ili kumaliza malalamiko ya walimu, madaktari, na makundi mengine. Asante sana Mh. Wenje.
 
walimu wanahitaji motisha ili elimu ya wadanganyika isiendelee kuyumba kwa kiwango cha sasa.
 
hivi wewe umevuta ya wapi leo? Naona umepagawa kabisa. Huu upuuzi naona unasambaza kwenye kila topic.

Jifunze kuwasikiliza hata hao unaoisi wamechanganyikiwa au wamevuta wanakuwaga na points muhimu wakati mwingine
 
Honestly sehemu kubwa ya wabunge wa CDM imeshiba vibaya kwa kujenga na kuwasilisha hoja zenye mguso wa kipekee kwenye jamii. Ni dakika chache tu Mh. Wenje alikuwa anamwaga facts kuhusu elimu yetu ya shule ya msingi kuwa mtaala unaelekeza kuwa lugha ya kufundishia ni kiswahili wakati wakati huo viongozi wote wa serikali wasomesha watoto wao kuanzia nursery kwenye shule zinazotumia kiingereza kama lugha ya kufundishia! Watu wamekuwa wakiomba mabadiliko katika hili lakini serikali inakataa kuwa kiswahili ndio lugha ya taifa hivyo lazima kiendelee! La pili alilonikosha zaidi ni kwanini wanajeshi wanapewa nafasi ya kununua vitu kwenye maduka yao ambapo wanapata punguzo la bei kwa kuondolewa baadhi ya kodi na wao wanamshahara mikubwa kuliko walimu, kwanini basi na walimu wasifanyiwe hivyo ili nao wapate japo vifaa vya ujenzi kwa bei poa?

This makes sense for sure!

Wenje ni fisadi wa elimu. Ana kesi ya kujibu kwangu mm mkazi wa jimbo la Rorya, CV yake inaonesha alisoma shule ya sekondari SHIRATI wakati mimi nimezaliwa pale na hakuna shule kama hiyo Katika Wilaya ya Rorya, wapambe wake mpelekeeni taarifa ajitokeze anijibu, na akiona nimemdhalilisha na aende mahakamani
 

The man is really a great thinker. Ni wachache tuliokuwa na mawazo kama haya japo hii issue ya kundi mojawapo katika jamii (wanajeshi) kupata unafuu wa huduma na bidhaa ikiwemo kusafiri bure kwenye public transport wakati huo huo wakipata mishahara mikubwa imekuwepo kwa muda sasa.

Naamini hili ni wazo zuri sana kwa CCM kulifanyia kazi ili kumaliza malalamiko ya walimu, madaktari, na makundi mengine. Asante sana Mh. Wenje.

Hapo sasa. Hilo siyo suala la Serikali tena , Chama cha walimu kinapaswa kujibu hilo, Fedha ambazo huwakata wanachama wake zinakwenda wapi? si zingefungua miradi ambayo walimu wangejipatia bidhaa kwa bei nafuu kama wanajeshi?
 
walimu wanahitaji motisha ili elimu ya wadanganyika isiendelee kuyumba kwa kiwango cha sasa.

Tunaweza kufikiri kuwa matokeo mabaya ya mitihani ni walimu kukosa morali ya kufundisha,la hasha. Uwezo wao pia wa kuwalisha wanafunzi kile wanachokifahamu ni mdogo sana. Mimi nafikiri badala ya kuona kuongeza posho kama suluhu, ni bora na mfumo mzima wa kuwapata walimu ubadilishwe na kuachana kabisa na kuwajiri watu ambao walishakata tamaa ya kusoma matokeo yake ni kwenda kushinda kwenye pombe za kienyeji.
 
hivi wewe umevuta ya wapi leo? Naona umepagawa kabisa. Huu upuuzi naona unasambaza kwenye kila topic.

Huyo Kiv ni muhuni tu hana lolote. Hivi anategemea nchi iongozwe na padri kweli? au nchi iongozwe na mmliki wa kasino.
 
Ndugu,

Katika uchaguzi wowote ule ukikosekana rushwa, udini, ukabila na ufisisadi lazima CV ndizo zitakazo tawala. Ninavyofahamu mimi katika CHADEMA hakuna vyote vilivyotajwa hapo juu. Hivyo sifa zilizoko kwa CV ndizo huchukua mkondo wake. Ukisikia yakitamkwa na akina Magamba ni POROJO tu kuvuruga akili za Watanganyika kama ilivyozoeleka.

Hongera Wanachadema na Uongozi wa CDM kwa Ujumla.

Imani yetu hamtotuangusha.

Teh teh tehe, Mbona unajihami kwani nani alisema CDM kuna hayo uliyoyataja? si unajipendekeza mwenyewe kujikingia kifua kabla hata ngumi kurushwa. Hakina CDM ni chama cha kidini, ukabila na hili nalo tuliongezee(chama) cha mahaba. Hivi kwa nini wabunge wote wanawake kupitia CDM wana sura nzuri sana? Tuseme hiyo ni sifa mojawapo ya BAVICHA? Hapa itabidi mbowe atueleze vizuri kulikoni? Nina wasi wasi , labda ili mwanamama kuwa mbunge kupitia CDM ni lazima kwanza kutakaswa na Mkuu wa kaya.
 
Back
Top Bottom