KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Jamanai hakuna kinachonisikitisha kwa CCM kuona inachagua viongozi wasiokuwa na tija na kuwaacha watu wenye hari na mori!nakuchagua watu waliostahili kuwa viongozi wa bendi za Taarabu
Unakuta mtu eti ni waziri kwa vipindi viwili mfululizo mpaka unajiuliza huyu kwa nini alichaguliwa!!
Mfano:-
1.................
2Endeleza list!
Unakuta mtu eti ni waziri kwa vipindi viwili mfululizo mpaka unajiuliza huyu kwa nini alichaguliwa!!
Mfano:-
1.................
2Endeleza list!