msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,067
- 1,136
Wadau naomba kuuliza swali, CCM hakuna hata mmoja aliebahatika kusoma na akaelimika?
Inakuwaje chama kizima tena kikongwe barani Afrika kinakosa washauri na wataalam waliobobea mambo mbalimbali!! Wameshindwa hata kumshauri Mwenyekiti wao mambo ya kuzungumza na wanamwacha anaingia kichakani! Kweli ukila na kipofu usimguse mkono. JK, mheshimiwa raisi unatueleza kuwa huwatambui wamiliki wa Dowans! What do you mean exactly?
Haingii akilini uliposema kwamba ulikaa kimya kuwaachia wengine wazungumze kwa niaba yako like Ngeleja, halafu alichozungumza Ngeleja ni tofauti na wewe. Ina maana kama Ngeleja alizungumza kwa niaba yako iweje awafahamu wamiliki wa Dowans wewe ushindwe kuwatambua? Na wewe JK una uwezo wa kumaliza hili swala kwa kuamuru kutokulipwa Dowans na kumfungulia mashtaka Ngeleja kwa kuudanganya umma kwa kututajia majina ya uoogo. Au ni nani mkweli kati yako JK na Ngeleja? Jamani Watz huu uranii wa raisi wetu ni hadi lini.
Kuna masuala nyeti na muhqgmu kwa Taifa ambayo angeweza kuzungumza Siku ya CCM, wewe anajichekesha na kutuambia akutukanae hakuchagulii tusi, ulielezwa ukweli siku hizi umetukanwa? Namwomba raisi aache mzaha na maisha ya Watz, huu mfumuko wa bei wa kutisha namna hii hauoni,, mi sijui ni Taifa gani anaongoza. Wenzake wote wamemuacha mbali kabisa, angalia Rwanda Na Burudi, majuzi tu walikua vitani leo hii wameshajitutumua na safari ya mafanikio inaonekana wazi bila kusahau Angola.. Raisi wetu amepotea na hajuph hata afanye lipi na aache lipi?
Anatafuta cheap popularity kwa kujichekesha kwa watu waliochoshwa na maisha? Amefikia mahalph anadhubutu kusema eti hata Nyerere alikuwa na makosa, kama ndivyo hiyo ndo sababu ya kufanya madudu kwa kuwa mtangulizi wako alikosea mahali kwa hiyo anashindana nae kiuzembe badala ya ufanisi. Kwangu mimi huku ni kutokujitambua na nafika mahali na kujiuliza huko CCM hakuna wasomi wenye uwezo wa kumshauri JK ajaribu kuzidigest hotub zake kabla yakusoma kama gazeti?
Hawa madoka Chami, Davidi, Mwakyusa, Lukuvi, n.k wamesomea wapi elimu zao kiasi kwamba huyo udaktari falsafa haipo kabisa. Raisi ambaye amekua ombaomba ili hali Nchi yake ina utajiri wa kupindukipa hana maana kabisa, na hafai. Nawaomba wasomi wetu wachukue hatamu ya kumshauri JK hata kama hawapo CCM, watumie taaluma zao kutuletea mabadiliko chanya.
Inakuwaje chama kizima tena kikongwe barani Afrika kinakosa washauri na wataalam waliobobea mambo mbalimbali!! Wameshindwa hata kumshauri Mwenyekiti wao mambo ya kuzungumza na wanamwacha anaingia kichakani! Kweli ukila na kipofu usimguse mkono. JK, mheshimiwa raisi unatueleza kuwa huwatambui wamiliki wa Dowans! What do you mean exactly?
Haingii akilini uliposema kwamba ulikaa kimya kuwaachia wengine wazungumze kwa niaba yako like Ngeleja, halafu alichozungumza Ngeleja ni tofauti na wewe. Ina maana kama Ngeleja alizungumza kwa niaba yako iweje awafahamu wamiliki wa Dowans wewe ushindwe kuwatambua? Na wewe JK una uwezo wa kumaliza hili swala kwa kuamuru kutokulipwa Dowans na kumfungulia mashtaka Ngeleja kwa kuudanganya umma kwa kututajia majina ya uoogo. Au ni nani mkweli kati yako JK na Ngeleja? Jamani Watz huu uranii wa raisi wetu ni hadi lini.
Kuna masuala nyeti na muhqgmu kwa Taifa ambayo angeweza kuzungumza Siku ya CCM, wewe anajichekesha na kutuambia akutukanae hakuchagulii tusi, ulielezwa ukweli siku hizi umetukanwa? Namwomba raisi aache mzaha na maisha ya Watz, huu mfumuko wa bei wa kutisha namna hii hauoni,, mi sijui ni Taifa gani anaongoza. Wenzake wote wamemuacha mbali kabisa, angalia Rwanda Na Burudi, majuzi tu walikua vitani leo hii wameshajitutumua na safari ya mafanikio inaonekana wazi bila kusahau Angola.. Raisi wetu amepotea na hajuph hata afanye lipi na aache lipi?
Anatafuta cheap popularity kwa kujichekesha kwa watu waliochoshwa na maisha? Amefikia mahalph anadhubutu kusema eti hata Nyerere alikuwa na makosa, kama ndivyo hiyo ndo sababu ya kufanya madudu kwa kuwa mtangulizi wako alikosea mahali kwa hiyo anashindana nae kiuzembe badala ya ufanisi. Kwangu mimi huku ni kutokujitambua na nafika mahali na kujiuliza huko CCM hakuna wasomi wenye uwezo wa kumshauri JK ajaribu kuzidigest hotub zake kabla yakusoma kama gazeti?
Hawa madoka Chami, Davidi, Mwakyusa, Lukuvi, n.k wamesomea wapi elimu zao kiasi kwamba huyo udaktari falsafa haipo kabisa. Raisi ambaye amekua ombaomba ili hali Nchi yake ina utajiri wa kupindukipa hana maana kabisa, na hafai. Nawaomba wasomi wetu wachukue hatamu ya kumshauri JK hata kama hawapo CCM, watumie taaluma zao kutuletea mabadiliko chanya.