Kessy Hamisi
Member
- Jun 25, 2012
- 24
- 8
Kuna msichana ambaye nilimaliza naye sekondari kidato cha nne mwaka 2009 mpaka sasa tumemaliza kidato cha sita tukisubiri post za chuo.Aliwahi kunitamkia kuwa ananipenda na mimi nikamkumbalia lakini cha kushangaza sana mapenzi yetu yamekuwa ni ya kwenye simu tu kiasi huwa nakosa muda wa kukaa naye ili tuzungumze juu ya mahusiano yetu na pia nimeshakwenda nyumbani kwao mara nyingi lakini nikimuuliza atakuja lini nyumbani apajue ananipiga kalenda na hata mama yangu anajua nipo naye lakini hajawahi kumuona.Je hivi ni kweli ananipenda au ananipotezea muda? msaada wenu wadau