nani huyu, Aisha Madinda au?
Yup...mwenyewe.....! Nadhani atakuwa kabebwa jumlajumla na wakware wa Dubai, baada ya kuumwaumwa Bongo na Bosi wake kujivuta vuta kumsaidia..
Yup...mwenyewe.....! Nadhani atakuwa kabebwa jumlajumla na wakware wa Dubai, baada ya kuumwaumwa Bongo na Bosi wake kujivuta vuta kumsaidia..
Mkuu usisifie sana shem ataonahuyu dada ni noma,kwani yule MISTA MADINDA VIPI?
Mkuu usisifie sana shem ataona
Timu yote ya mauno ipo hapa bado tu Chrispin ndo hajaitia timu.
Du wanaume na viuno mi hata siwaelewi nyie viumbe. Aisha yupo mtaa
Timu yote ya mauno ipo hapa bado tu Chrispin ndo hajaitia timu.
Du wanaume na viuno mi hata siwaelewi nyie viumbe. Aisha yupo mtaa
Timu yote ya mauno ipo hapa bado tu Chrispin ndo hajaitia timu.
Du wanaume na viuno mi hata siwaelewi nyie viumbe. Aisha yupo mtaa
HAHAHAH!mkuu,mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.huyu dem alikuwa tait.mapedeshee walikuwa wanatanguliza rav4 JUST TO WIN HER!sijui fikiri-madinda alitoa nin mazee.....!
ila kwasasa naona kimyaaaaaaaaaaaaaaaaa!sijui kunani
haya bwana nguli!lakini mwenzio sina utaalamu na jografia
Hio theory inasema kuwa ukiona sehemu kumetokea bonde ujue kuna sehemu mlima umetokea(just simple expln). Kwa hiyo kama mtu ni mwembamba sn kuna sehemu mnene(sijaitaja)