Hivi Aisha Madinda yupo wapi?!

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,035
huyu mchuchu mimi nilikuwa namzimia sana,na ndio aliyekuwa ananifanya niende kuwaona jamaa wakitumbuiza.yupo wapi huyu mtoto wazee?

au yupo yuropu nin?


i760_aishamadinda4bc1.jpg


i759_aishamadinda2bc1.jpg


i761_aishamadindabc1.jpg


km.jpg


aisha-madinda-wa-twanga-pepeta.jpg


aisha_madinda.jpg

1244978813_2twanga.jpg


1.JPG


madinda.jpg


DSC00105.JPG


1.jpg


AISHA-MADINDA.jpg

 
mbona nilisikia amesharudi jukwaani kwa mbwembwe zote, kuna wakati alikuwa anaumwa miguu nahisi na kwa ajili ya kucheza sana, Mungu amsaidie aendelee kutupa raha tena
 
Yup...mwenyewe.....! Nadhani atakuwa kabebwa jumlajumla na wakware wa Dubai, baada ya kuumwaumwa Bongo na Bosi wake kujivuta vuta kumsaidia..

Lakini mkuu huyu dada si utani, ilikuwa nikiingia Twanga naangalia viuno vyake tu!!
 
huyu dada ni noma,kwani yule MISTA MADINDA VIPI?
 
Mkuu usisifie sana shem ataona

HAHAHAH!mkuu,mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.huyu dem alikuwa tait.mapedeshee walikuwa wanatanguliza rav4 JUST TO WIN HER!sijui fikiri-madinda alitoa nin mazee.....!

ila kwasasa naona kimyaaaaaaaaaaaaaaaaa!sijui kunani
 
Timu yote ya mauno ipo hapa bado tu Chrispin ndo hajaitia timu.
Du wanaume na viuno mi hata siwaelewi nyie viumbe. Aisha yupo mtaa
 
Timu yote ya mauno ipo hapa bado tu Chrispin ndo hajaitia timu.
Du wanaume na viuno mi hata siwaelewi nyie viumbe. Aisha yupo mtaa

Mkuu viuno vinaongeza maonjo!! Ni kama kachumbari kwenye pilau!!
 
Timu yote ya mauno ipo hapa bado tu Chrispin ndo hajaitia timu.
Du wanaume na viuno mi hata siwaelewi nyie viumbe. Aisha yupo mtaa

kiuno ndio chenyewe mamaake!we angalia pic moja ya mwisho lazima ukubali kunata na biti,maanake kunavijigadeni lavu hivi vinachungulia kutokea ''ikulu''
 
Timu yote ya mauno ipo hapa bado tu Chrispin ndo hajaitia timu.
Du wanaume na viuno mi hata siwaelewi nyie viumbe. Aisha yupo mtaa

Tutake radhi we ngamia/carmel...Wengine ni maparoko hapa... acha hii mambo bana...lol!
 
HAHAHAH!mkuu,mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.huyu dem alikuwa tait.mapedeshee walikuwa wanatanguliza rav4 JUST TO WIN HER!sijui fikiri-madinda alitoa nin mazee.....!

ila kwasasa naona kimyaaaaaaaaaaaaaaaaa!sijui kunani

Ha ha ha ha, jamaa siunamjua alikuwa mwembamba kama mwiba na kama umesoma geography kwenye theory ya Isostasy utakuwa unanipa kbs.
 
Ha ha ha ha, jamaa siunamjua alikuwa mwembamba kama mwiba na kama umesoma geography kwenye theory ya Isostasy utakuwa unanipa kbs.

haya bwana nguli!lakini mwenzio sina utaalamu na jografia
 
Duh!!!
Kaambiwa apumzike maana miguu yake inavimba akiunganisha shooo.
Anakaa mji mwema kigamboni alikojengewa na madinda
 
attachment.php
i759_aishamadinda2bc1.jpg


hapa hata NYANI-JULIUS akiona kitovu na vijimanyoya hivyo ataacha dharau,na atakumbuka home
 
haya bwana nguli!lakini mwenzio sina utaalamu na jografia

Hio theory inasema kuwa ukiona sehemu kumetokea bonde ujue kuna sehemu mlima umetokea(just simple expln). Kwa hiyo kama mtu ni mwembamba sn kuna sehemu mnene(sijaitaja)
 
Hio theory inasema kuwa ukiona sehemu kumetokea bonde ujue kuna sehemu mlima umetokea(just simple expln). Kwa hiyo kama mtu ni mwembamba sn kuna sehemu mnene(sijaitaja)

When large amounts of sediment are deposited on a particular region, the immense weight of the new sediment may cause the crust below to sink. Similarly, when large amounts of material are eroded away from a region, the land may rise to compensate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom