Kwi kwi kwi kaniambukiza ex wako ujue!
Yaani sigara nene imekubangua mpaka memory imekuwa unreachable?
aiseeee kumegana ndio mpango mzima! lol! UKIMWI UNAUA!
mkuu watu wanafanya kweli,kuna ambao mpaka wanaoana kabisa,kwa ushuhuda nenda mmu kasome uzi wa mdau Paxman,kautoa jana.Bishanga umeona mbali sana! Nilikuwa sijui kama wana chit chat wanaivunja amri ya sita kwa bidii kiasi hichi! Nilijua utani tu kumbe loh mapyaaaa! Ushari wangu! UKIMWONA MZURI LEO NI WANGAPI WALISHAMWONA KABLA YAKO???
mmh! mara hii nimeshakuwa case study? hapana dogo JF.mkuu watu wanafanya kweli,kuna ambao mpaka wanaoana kabisa,kwa ushuhuda nenda mmu kasome uzi wa mdau Paxman,kautoa jana.
asante na ukweli nitake nini tena zaidi ya kufurahia. Nimeipenda ila sasa usiache kuniombea Bishanga maana dunia inameza sana.jisikie huru na mwenye furaha,sherehekea mafanikio yako.