HIV test online.

Msiogope kupima! Kwa sababu hata ukikutwa nao kuna faida sita. 1. Utatembelewa., 2. Unapewa msosi mzuri. 3. Kila mtu anakuhumia. 4. Ukitaka kunya huendi chooni palepale ulipo. 5. Ukijitangaza unakuwa shujaa. 6. Ukiwa mfungwa unapata msamaha! Kumbuka dawa na ambulance ni bureee!
teh teh teh!!! KARIA nimeipenda hyo!!! uwiii kumbe ndio raha hvyooo!!!
 
Last edited by a moderator:
Msiogope kupima! Kwa sababu hata ukikutwa nao kuna faida sita. 1. Utatembelewa., 2. Unapewa msosi mzuri. 3. Kila mtu anakuhumia. 4. Ukitaka kunya huendi chooni palepale ulipo. 5. Ukijitangaza unakuwa shujaa. 6. Ukiwa mfungwa unapata msamaha! Kumbuka dawa na ambulance ni bureee!
mmmmmhhhh hii kali.
 
Aisee! Mi hapana kuwa najua. Kwahiyo mkirudiana ni mambo ya yango kwa yango? Ukimwi nini bana, tatizo mimba.
mkuu Asprin,wajua ile nyimbo.....yango na yango (nyama kwa nyama),etutana (zikikutana),sasoboooosa (ni raha tupu).
 
Last edited by a moderator:
we acha tu,ujue hao uliowataja na wengine wengi tu humu jf wamebikiriwa kwa durex,enzi zetu akivunja bikra na soo ya mimba juu.Wayakumbuka 'mafua' weye?

Heheh! Enzi zetu ukiwa na gona unasimulia mtaa mzima ili wakujue kidume. Waikumbuka perfume YU for men?
 
Back
Top Bottom