teh teh teh!!! KARIA nimeipenda hyo!!! uwiii kumbe ndio raha hvyooo!!!Msiogope kupima! Kwa sababu hata ukikutwa nao kuna faida sita. 1. Utatembelewa., 2. Unapewa msosi mzuri. 3. Kila mtu anakuhumia. 4. Ukitaka kunya huendi chooni palepale ulipo. 5. Ukijitangaza unakuwa shujaa. 6. Ukiwa mfungwa unapata msamaha! Kumbuka dawa na ambulance ni bureee!
mmmmmhhhh hii kali.Msiogope kupima! Kwa sababu hata ukikutwa nao kuna faida sita. 1. Utatembelewa., 2. Unapewa msosi mzuri. 3. Kila mtu anakuhumia. 4. Ukitaka kunya huendi chooni palepale ulipo. 5. Ukijitangaza unakuwa shujaa. 6. Ukiwa mfungwa unapata msamaha! Kumbuka dawa na ambulance ni bureee!
mkuu Asprin,wajua ile nyimbo.....yango na yango (nyama kwa nyama),etutana (zikikutana),sasoboooosa (ni raha tupu).
Kupima mchezo? Subiri uone watu watakavyokimbia majibu.
we acha tu,ujue hao uliowataja na wengine wengi tu humu jf wamebikiriwa kwa durex,enzi zetu akivunja bikra na soo ya mimba juu.Wayakumbuka 'mafua' weye?Hiyo inahusu. Enzi hizo kina ummu kulthum na princess enny bado kuzaliwa. Umemsoma KARIA hapo juu? Ukimwi kumbe deal.
we acha tu,ujue hao uliowataja na wengine wengi tu humu jf wamebikiriwa kwa durex,enzi zetu akivunja bikra na soo ya mimba juu.Wayakumbuka 'mafua' weye?
tenah deal kubwa!!! Bishanga acha uoga!!Hiyo inahusu. Enzi hizo kina ummu kulthum na princess enny bado kuzaliwa. Umemsoma KARIA hapo juu? Ukimwi kumbe deal.
khaaaaaaaa Bishanga!! ulikuwa shahidi!!??we acha tu,ujue hao uliowataja na wengine wengi tu humu jf wamebikiriwa kwa durex,enzi zetu akivunja bikra na soo ya mimba juu.Wayakumbuka 'mafua' weye?
shujaa Nyani Ngabu matokeo yake ndo yametoka hechaivii positive,toba yarabi!Mpaka dakika hii hakuna alojitolea kupima.....loh kweli kupima ni wito, yataka moyo na roho pia
tenah deal kubwa!!! Bishanga acha uoga!!
uongo mtupu!!!!!!!!kwani uongo?
ckaguliwagi na wanafunzi!!Eti princess enny kumbukumbu zinaonyesha nshakukagua au bado? Hebu come this nijiridhishe.