Historia ya wimbo uitwao Ni Salama Rohoni Mwangu (It is Well with my Soul)

pole i think kuna situation inayokufanya ulie utashinda

Amen.
Ukiishi duniani hapa,situations are always there.
Na mojawapo ya situation ngumu mno kwa baadhi ya watu ni ile kuona mambo yasiyoonekana na wengi,ukajitahidi sana kuwaeleza watu,lakini hawakuelewi.
Hakuna jambo linauma kama kumwona mtu anaiendea njia mbaya,ukamwonya,asikusikie,halafu baadae akaumia kweli.

Yapo mengi sana ambayo dunia ya leo inaonywa but haisikii,and people are not aware of the terrible situation ahead of us.
That bothers me most.
 
Hii hadithi n so toucheble, nliwai isoma kabla, asante sana mkuu kwa kuibandika, cha kuzingatia kuwa kila jaribu linakusudi la kumkamilisha mtu wa mungu,

Ndiyo maana ngambo ya kila jarib upo ushindi mkuu wa uzima wa milele, ni vyema kujifunza kuwa majaribu hayana budi kuja ili kumpima mtu wa mungu, kama vile dhahabu ipitishwavyo kwenye moto ndivyo impaswavyo mtu wa mungu kufurahi pindi apitapo kwenye majaribu.

NI SALAMA ROHON MWANGU.
 
Asante mkuu,,,,Kwa maelezo haoyo,,,Kiukweli miaka ya Zamani watu walikuwa wanatunga nyimbo nzuri nanyingi zilikuwa zinaelezea matukio halisi ndio maana hata leo ukizickia ujumbe pamoja na sauti Unagusa MOYO,,,!

ni kweli zimevuviwa upako hata leo hii zikiimbwa. Usinipite mwokozi pia aliimba mtu akiwa amepoteza kuona na kupooza kama sikosei, akiwa kitandani akaimba ...usinipite Mwokozi ni wimbo mzuri sana nao
 
Kama wimbo wa "keep me true" naupenda sana unavuta hisia....
Zaidi ya yote ni msg yake

Keep me true
Lord Jesus keep me true X 2
There is a race i must run
There are victories to be won...

Ndio huo mkuu au ?

Kuna na ule wa Amy Grant unaitwa better than a halleluiah unaupata?hebu tafuta video yake utazame halafu unipe mrejesho please.
 
Keep me true
Lord Jesus keep me true X 2
There is a race i must run
There are victories to be won...

Ndio huo mkuu au ?

Kuna na ule wa Amy Grant unaitwa better than a halleluiah unaupata?hebu tafuta video yake utazame halafu unipe mrejesho please.

Ndio huo huo na hasa naupenda wa jabu hlongwane na wa pastor Benjamin dube


Ngoja niutafute huo wa army
 
Duh aisee ubarikiwa kwakweli .. Kwa story hii na wimbo wenyewe jinsi ulivyo unanivusha mahali flan.
 
Back
Top Bottom