Historia ya wamasai kutokea Israel hadi Africa mashariki

We mtu, waisraeli wenyewe wametokea Ethiopia!! Hili wengi litawaduwaza. Hiyo Aramaic waliyokua wakiongea kina Yesu ni mchakachuo wa Kioromo cha Ethiopia. Sikumbuki chanzo hasa.

Hata hivyo, inakubalika na wanahistoria duniani kuwa binadamu kaanzia hekaheka za kutangatanga duniani pote akitokea Afrika. Masalia ya mtu wa kale zaidi yalichimbuliwa huko Ngorongoro na Dr. Leakey.

Wamasai ni sehemu tu wa watu walio na chimbuko mto Nile chini ya jangwa la Sahara (nilo saharan ama tu nilotic). Wanubi, watutsi na wajaluo ni ndugu zao kimbari.

Kuhusu wamasai kuingia afrika mashariki km ilivyo sasa, wameingia karne km 3 tu zilopita mnamo miaka ya 1700, naam, wakitokea Sudan. Labda wamewazidi wangoni tu kwa kuwahi kuingia Tz ya sasa. Msome Gervas Tatah Mlola kwenye The Ways of the Tribe.

Kwa ufupi na kwa ujumla sana:
Kuna mbari kama 5 hivi za waafrika weusi. WABANTU ambao ndio wengi kwa idadi (wahaya, wasukuma, wakikuyu, wakamba, wazulu, waibo, wacongo, n.k.); WANAILOTI (wakijulikana sn kwa ng'ombe wao Ankole wenye pembe nzuri ndefu na maumbile maororo); WAKUSH/SEMITIC (waoromo, wairaqw/wambulu, watu wa djibout, n.k.); 'watupori'/KHOISAN (wanaongea kwa click wasandawe, waxhosa?, watatoga/watindiga, n.k.) na MBILIKIMO wa huko msitu wa kongo ingawa mara nyingi wanasahaulika km mbari mojawapo ya kiafrika (wanakula watu nao wanaliwa na wabantu waCongo).

Mbari hizi kwa sasa zimechanganyana sana kiasi baadhi wanapoteza asili. Mfano Watutsi asili yao ni wanailoti. Ila DNA za sasa wanaonyesha ni wabantu kwa zaidi ya 75%!! (soma wikipedia - Tutsi).
 
safari ya wamasai imeendelea wameshafika cape town na ng,ombe zao wanakuna kichwa wafanyeje wavuke bahari watokomee hukohuko baharini au wageuze warudi Israel!!
 
Yani leo jf mmetsha kwa uongo, mara queen eliza beth n mjukuu wa mtume. Na wew umekuja na mpya duh
 
We mtu, waisraeli wenyewe wametokea Ethiopia!! Hili wengi litawaduwaza. Hiyo Aramaic waliyokua wakiongea kina Yesu ni mchakachuo wa Kioromo cha Ethiopia. Sikumbuki chanzo hasa.

Hata hivyo, inakubalika na wanahistoria duniani kuwa binadamu kaanzia hekaheka za kutangatanga duniani pote akitokea Afrika. Masalia ya mtu wa kale zaidi yalichimbuliwa huko Ngorongoro na Dr. Leakey.

Wamasai ni sehemu tu wa watu walio na chimbuko mto Nile chini ya jangwa la Sahara (nilo saharan ama tu nilotic). Wanubi, watutsi na wajaluo ni ndugu zao kimbari.

Kuhusu wamasai kuingia afrika mashariki km ilivyo sasa, wameingia karne km 3 tu zilopita mnamo miaka ya 1700, naam, wakitokea Sudan. Labda wamewazidi wangoni tu kwa kuwahi kuingia Tz ya sasa. Msome Gervas Tatah Mlola kwenye The Ways of the Tribe.

Kwa ufupi na kwa ujumla sana:
Kuna mbari kama 5 hivi za waafrika weusi. WABANTU ambao ndio wengi kwa idadi (wahaya, wasukuma, wakikuyu, wakamba, wazulu, waibo, wacongo, n.k.); WANAILOTI (wakijulikana sn kwa ng'ombe wao Ankole wenye pembe nzuri ndefu na maumbile maororo); WAKUSH/SEMITIC (waoromo, wairaqw/wambulu, watu wa djibout, n.k.); 'watupori'/KHOISAN (wanaongea kwa click wasandawe, waxhosa?, watatoga/watindiga, n.k.) na MBILIKIMO wa huko msitu wa kongo ingawa mara nyingi wanasahaulika km mbari mojawapo ya kiafrika (wanakula watu nao wanaliwa na wabantu waCongo).

Mbari hizi kwa sasa zimechanganyana sana kiasi baadhi wanapoteza asili. Mfano Watutsi asili yao ni wanailoti. Ila DNA za sasa wanaonyesha ni wabantu kwa zaidi ya 75%!! (soma wikipedia - Tutsi).

Mkuu hicho kitabu nitapata wapu they ways of tribes?
Nanthani kuna haja ya kuanza kuandika historia yetu na kufundishwa kwenye mashule na sio mambo ya ukoloni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom