mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Kwa asilimia kubwa wengi wetutumefanya mapenzi katika umri wetu huu tulionao.Na mapenzi haya ni aidha katika ndoa au nje ya ndoa.Kwa uzi huu nizungumzie mapenzi kabla ya ndoa au nje ya ndoa.Ni ukweli ikiwa mwanaume unamfukuzia binti njia mbali mbali hutumika.Kwa kiasi kikubwa wanaume wengi huwa tunakuwa submissive ili malengo yetu yatimie,mwisho wa siku tendo hufanyika.Lakini utafiti usio rasmi unaonesha hisia baada ya tendo kufanyika baada ya tendo watu huvaa sura nyingine.je wewe kipi hukutokea?