mtu kitu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 702
- 508
Hii nchi ya madudu tu , hesabu zao nchi wanazifanya Dodoma na kutuambia walitakalo , sio lile la kweli !! Kila upande wa muungano unalalamika dhidi ya mwengine , je bado hatujajua tu kuwa huu ni muungano wa viongozi na usio wazi kwa raia ? mi binafsi yangu siufahamu huu muungano !!