Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Jasusi, Mchambuzi, Nonda, Mdondoaji, Barubaru, Ritz, Jasusi, Taso,
..hebu tuendelee kuuchunguza huu muungano wetu zaidi.
..kuna taarifa kwamba ZNZ ilitoa 11% ya mtaji wa kuanzisha BOT.
..pia AG wa ZNZ aliwahi kunukuliwa akisema kwamba pamoja na kutoa hisa hizo, SMZ ilianzisha PBZ[People's Bank of Zanzibar] ambayo ilikuwa ikifanya kazi kama "benki kuu" ya ZNZ kwa kipindi kirefu mpaka miaka ya 80 au 90.
..katika gazeti la raia mwema, gavana wa BOT, Prof.Ndulu, amenukuliwa akisema kwamba kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa BOT, benki hiyo imepata faida na kutoa gawio la $ 173 million kwa serikali.
..kwa msingi huo huenda basi ZNZ na SMZ wamepewa mgao stahiki kutokana na faida iliyopatikana BOT.
..hapa nitapenda kuhakikishiwa kwamba ZNZ imepata stahiki yake kutokana na kiwango cha hisa ilichotoa mwaka 1966.
..kitu kingine ambacho amekieleza Prof.Ndulu ni kwamba kwa muda wote tangu kuanzishwa kwake BOT ilikuwa ikiendeshwa kwa RUZUKU kutoka serikalini.
..sasa mimi napenda kuuliza: Katika miaka yote ambayo BOT ilikuwa ikiendeshwa kwa HASARA na kutegemea RUZUKU toka serikalini, ZNZ au SMZ ilikuwa ikitoa kiasi gani??
Nakala:
takashi, Zitto, Edwin Mtei, Mkandara, EMT, Kitila Mkumbo, Masanja, Rev. Kishoka, Kasheshe, Nnauye Jr, Maxence Melo, Kiranga, Geza Ulole, Kubwajinga, Nonda, Malila, Kichuguu, Nyani Ngabu, Selemani, Mohamed Said, maggid
NB:
..nawaomba wote mchangie hoja hii. hata wale ambao sikuwa-tag mjisikie huru kabisa kuchangia hapa. kila mmoja wenu achangie tafadhali.
..hebu tuendelee kuuchunguza huu muungano wetu zaidi.
..kuna taarifa kwamba ZNZ ilitoa 11% ya mtaji wa kuanzisha BOT.
..pia AG wa ZNZ aliwahi kunukuliwa akisema kwamba pamoja na kutoa hisa hizo, SMZ ilianzisha PBZ[People's Bank of Zanzibar] ambayo ilikuwa ikifanya kazi kama "benki kuu" ya ZNZ kwa kipindi kirefu mpaka miaka ya 80 au 90.
..katika gazeti la raia mwema, gavana wa BOT, Prof.Ndulu, amenukuliwa akisema kwamba kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa BOT, benki hiyo imepata faida na kutoa gawio la $ 173 million kwa serikali.
..kwa msingi huo huenda basi ZNZ na SMZ wamepewa mgao stahiki kutokana na faida iliyopatikana BOT.
..hapa nitapenda kuhakikishiwa kwamba ZNZ imepata stahiki yake kutokana na kiwango cha hisa ilichotoa mwaka 1966.
..kitu kingine ambacho amekieleza Prof.Ndulu ni kwamba kwa muda wote tangu kuanzishwa kwake BOT ilikuwa ikiendeshwa kwa RUZUKU kutoka serikalini.
..sasa mimi napenda kuuliza: Katika miaka yote ambayo BOT ilikuwa ikiendeshwa kwa HASARA na kutegemea RUZUKU toka serikalini, ZNZ au SMZ ilikuwa ikitoa kiasi gani??
Nakala:
takashi, Zitto, Edwin Mtei, Mkandara, EMT, Kitila Mkumbo, Masanja, Rev. Kishoka, Kasheshe, Nnauye Jr, Maxence Melo, Kiranga, Geza Ulole, Kubwajinga, Nonda, Malila, Kichuguu, Nyani Ngabu, Selemani, Mohamed Said, maggid
NB:
..nawaomba wote mchangie hoja hii. hata wale ambao sikuwa-tag mjisikie huru kabisa kuchangia hapa. kila mmoja wenu achangie tafadhali.