Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,380
Wanabodi.
Kuna tangazo lipo pale barabara ya Kawawa, Magomeni Morocco ukiwa unaelekea Kinondoni.
Kuna tangazo la picha kubwa wapo Freeman Mbowe na rais Jakaya Kikwete wameshikana mikono huku wanacheka.
Mimi binafsi sijui la nini sababu hakuna maelezo mengine zaidi ya picha, mwenye kufahamu naomba atujuze.
Kuna tangazo lipo pale barabara ya Kawawa, Magomeni Morocco ukiwa unaelekea Kinondoni.
Kuna tangazo la picha kubwa wapo Freeman Mbowe na rais Jakaya Kikwete wameshikana mikono huku wanacheka.
Mimi binafsi sijui la nini sababu hakuna maelezo mengine zaidi ya picha, mwenye kufahamu naomba atujuze.