GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,134
- 110,490
Haiingii Akilini Mlinzi unaagana nae Usiku Saa 4 unamuacha kakaa Lindoni huku Taa inammulika, ukiamka Usiku Kimachale ili nawe pia kufanya Lindo lako la Kisirisiri kwani Siku hizi hakuna Kuaminiana bado unamkuta kakaa pale pale Taa inammulika halafu Asubuhi ukiamka na Kukutana nae anakuambia Mazingira yako Salama wakati Wewe muda wote umemkuta akiwa pale pale ulipoagana nae jana Usiku wa Saa 4.
Halafu sasa kwa kuomba Nyongeza ya Mishahara wako vizuri kweli kweli. Mlinzi analinda Usiku huku Kafungulia Redio za Kisasa za Kichina kwanini Mwizi au Jambazi asijue uliko kisha akulie Timing aje Kukupiga Kitofa ( Jiwe la Utosini ) Ufe halafu aanze Kuiba?
Na wenye Walinzi punguzeni Mazoea nao sana kwani Wakishakuzoea tu hata ule Ufanisi wa Kazi hapo Kwako unapungua na sasa badala ya kukuona Wewe Mshikaji anaanza Kukuzoea kiasi kwamba hata Ratiba za Chakula chako na Familia anazijua au anataka Kuzijua na ukifanya mzaha hata Kukubandulia na Wanafamilia wako atakubandulia tu.
Shikamooni Walinzi.....!!
Halafu sasa kwa kuomba Nyongeza ya Mishahara wako vizuri kweli kweli. Mlinzi analinda Usiku huku Kafungulia Redio za Kisasa za Kichina kwanini Mwizi au Jambazi asijue uliko kisha akulie Timing aje Kukupiga Kitofa ( Jiwe la Utosini ) Ufe halafu aanze Kuiba?
Na wenye Walinzi punguzeni Mazoea nao sana kwani Wakishakuzoea tu hata ule Ufanisi wa Kazi hapo Kwako unapungua na sasa badala ya kukuona Wewe Mshikaji anaanza Kukuzoea kiasi kwamba hata Ratiba za Chakula chako na Familia anazijua au anataka Kuzijua na ukifanya mzaha hata Kukubandulia na Wanafamilia wako atakubandulia tu.
Shikamooni Walinzi.....!!