Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Pole sana my dear,ukisikia wanawake wanatufundisha sometimes wanaume ni kama watoto ndo uelewe.Sioni point ya kukuunga mkono ukafanye hiyo kazi nyingine then hilo limpunguzie majukumu yawe yako hasa ya watoto.Amejisahau,unahitaji kuzungumza nae ili ujue kama suala la kulea watoto sasa ni lako binafsi. Kuna wanawake mjini wanatumia hata dawa kukwamua hela za waume wa watu,sisi tutakushauri tu na pengine hatujui kinachoendelea kwenye akili yake,LEAN ON GOD,na mlilie sana,yeye anaona sirini tusikoona sisi,uwe mvumilivu kidogo atakujibu na umuombe pia akupe nguvu ya kupokea majibu ya huyo mwanaume kubadilika,pokea,tulia na tafuta ushauri na support ya walio muhimu kwake kwenye kuzungumza nae kwa kuwa umesema ulishazungumza nae.....Kazi ni nguvu yako siwezi kushauri uache,tunapitia mapito,ukiacha na asitoe hiyo ya matumizi???Pia mumeo ana marafiki,najua wanaume hawasemagi ubaya wa wenzao but yupo mmoja anaweza kuambia ukweli au hata mke wa rafiki ya mumeo,mchunguze,isije ikawa kuna nguvu zinamfunga........Mungu akusaidie,akupe amani,ujasiri na nguvu katika wakati huu na akupe majibu na suluhisho la kudumu.