Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
hicho ndo kinanichanganya kabisa, kwamba pesa yake ye anafanyia nini? mara nyingi nafikiria sana na kuona its so unfair mwishowe naishia kuwa stressed na kuwa very bitter
its ok do anything to fight for ur ndoa,make sure unazungumza na mumeo hadi mpate muafaka mzuri,tumia busara na hekima dia,usisahau kumwomba mungu