HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
smart people huwa wana vision nyerere asingewasomesha hawa viongozi wetu hadi chuo kikuu bure hali ingekuwaje leo ,naunga mkono hoja uwekezaji kwenye elimu kagame yuko sahihi.
rais kagame amechukua vijana bright wanaotakiwa kuendelea na elimu ya juu na kuwaombea scholarship na wengine kuwalipia elimu ya juu kwenye vyuo maarufu marekani ili baadae waje kuitumikia nchi yao.
Kitendo alichofanya rais kagame pamoja na udikteta wake lakini kitaifanya rwanda kuwa nchi yenye maendeleo makubwa baada ya miaka 5 kuanzia sasa kwani watakuwa na wataalamu wa kila fani.
Wakati rwanda wanafanya hayo sisi tumeendelea kusaini mikataba ya madini na gesi wakati hatujajiandaa kwa kusomesha wataalamu wetu na pia tunasaini mikataba bila kuwa na sera yoyote ya uchimbaji madini na gesi.
Pia tumeshindwa kusomesha wataalamu wetu na badala yake viongozi wa serikali wametumia nafasi walizonazo kusomesha watoto wao na kuwapa nafasi kwenye nyazifa nzito kama bot,kwenye ubalozi na sehemu nyingine wameshindwa kuimarisha elimu na kugawa keki ya taifa kwa watanzania wote
Kagame hapepesi mcho kwenye utendaji wake
;
Mimi nionavyo kwanza nikupongeze kwa kufuatilia kinachojiri kwa nchi zinazotuzunguka (JIRANI) huo ndio ujirani mwema siku zote..., naomba tu kutofautiana na wewe eneo moja tu kwamba Kagame ni dikiteta, hayo ni mambo ya magazeti hajawahi kuwa dikiteta hata siku moja. Ni mtu anayependa vitu viende kwa kufuata cheria, kanuni na taratibu, amechaguliwa kidemocrasia wakati wote, kuna mahakama na kila akoseaye sheria inachukua mkondo wake, ameweza kufuta adhabu ya kifo, ni nchi peke yake Duniani yenye asilimia kubwa ya wabunge wanawake wengi . hapo udikiteta uko waapi.
Maendeleo Rwanda juwezi kulinganisha na nchi yoyote Africa hii.....!! ukiondoa South africa na Mauritius nafikiri, usafi, ruhwa zero torelance ngoja niache hapo kwa leo, na sisi tunahitaji kubadilika na kufuata nyayo.
smart people huwa wana vision nyerere asingewasomesha hawa viongozi wetu hadi chuo kikuu bure hali ingekuwaje leo ,naunga mkono hoja uwekezaji kwenye elimu kagame yuko sahihi.
Ni kwa sababu wamepata rais mwenye akili ya kufikiria. Ama sisi tumepata..
Rais kagame amechukua vijana bright wanaotakiwa kuendelea na elimu ya juu na kuwaombea scholarship na wengine kuwalipia elimu ya juu kwenye vyuo maarufu marekani ili baadae waje kuitumikia nchi yao.
Kitendo alichofanya rais kagame pamoja na udikteta wake lakini kitaifanya rwanda kuwa nchi yenye maendeleo makubwa baada ya miaka 5 kuanzia sasa kwani watakuwa na wataalamu wa kila fani.
Wakati rwanda wanafanya hayo sisi tumeendelea kusaini mikataba ya madini na gesi wakati hatujajiandaa kwa kusomesha wataalamu wetu na pia tunasaini mikataba bila kuwa na sera yoyote ya uchimbaji madini na gesi.
Pia tumeshindwa kusomesha wataalamu wetu na badala yake viongozi wa serikali wametumia nafasi walizonazo kusomesha watoto wao na kuwapa nafasi kwenye nyazifa nzito kama bot,kwenye ubalozi na sehemu nyingine wameshindwa kuimarisha elimu na kugawa keki ya taifa kwa watanzania wote
hapo natofautiana na wewe,..anna malecela,anna abdallah,yule mbunge wa nkenge,manyanya etc wote ni wanawake lakini majuha;
Mimi nionavyo kwanza nikupongeze kwa kufuatilia kinachojiri kwa nchi zinazotuzunguka (JIRANI) huo ndio ujirani mwema siku zote..., naomba tu kutofautiana na wewe eneo moja tu kwamba Kagame ni dikiteta, hayo ni mambo ya magazeti hajawahi kuwa dikiteta hata siku moja. Ni mtu anayependa vitu viende kwa kufuata cheria, kanuni na taratibu, amechaguliwa kidemocrasia wakati wote, kuna mahakama na kila akoseaye sheria inachukua mkondo wake, ameweza kufuta adhabu ya kifo, ni nchi peke yake Duniani yenye asilimia kubwa ya wabunge wanawake wengi . hapo udikiteta uko waapi.
Maendeleo Rwanda juwezi kulinganisha na nchi yoyote Africa hii.....!! ukiondoa South africa na Mauritius nafikiri, usafi, ruhwa zero torelance ngoja niache hapo kwa leo, na sisi tunahitaji kubadilika na kufuata nyayo.
Rais kagame amechukua vijana bright wanaotakiwa kuendelea na elimu ya juu na kuwaombea scholarship na wengine kuwalipia elimu ya juu kwenye vyuo maarufu marekani ili baadae waje kuitumikia nchi yao.
Kitendo alichofanya rais kagame pamoja na udikteta wake lakini kitaifanya rwanda kuwa nchi yenye maendeleo makubwa baada ya miaka 5 kuanzia sasa kwani watakuwa na wataalamu wa kila fani.
Wakati rwanda wanafanya hayo sisi tumeendelea kusaini mikataba ya madini na gesi wakati hatujajiandaa kwa kusomesha wataalamu wetu na pia tunasaini mikataba bila kuwa na sera yoyote ya uchimbaji madini na gesi.
Pia tumeshindwa kusomesha wataalamu wetu na badala yake viongozi wa serikali wametumia nafasi walizonazo kusomesha watoto wao na kuwapa nafasi kwenye nyazifa nzito kama bot,kwenye ubalozi na sehemu nyingine wameshindwa kuimarisha elimu na kugawa keki ya taifa kwa watanzania wote
sina tatizo na maelezo yako lakini ningependa nikutaarifu miongoni mwa nchi zenye sera nzuri za afya kwa Afrika Mashariki na kati ni Tanzania, bahati mbaya sera hizi hazijafanyiwa kazi ipasavyo. Mfano wetu bora kabisa ni Community Health Fund (CHF) ambao ni mfuko wa afya ya jamii hasa hasa wilayani na vijijini ambapo sehemu nyingi wanatoza sh 5,000 na zingine sh 10,000 kwa mwaka kwa kaya ya watu 6 ambayo ni very cheap ukilinganisha na hizo dola 16 za kagame na rwanda yake. nina ushahidi wa kina kabisa kwamba zile halmashauri ambako mfuko huu umesimamiwa ipasavyo, wananchi wameweza kupata huduma bora za afya , mfano nenda wilaya za mkoa wa dodoma, nenda igunga, mwanga, handeni etc huku kote CHF imefanya vitu vizuri sana kwenye afya, ila tatizo ni usimamizi mbovu katika utoaji wa huduma za afya kwa ujumla wake nchini.
pia ukumbuke universal health insurance ni jambo gumu sana, kwani hata marekani ni mwaka juzi tu ndio obama ameleta ile bill ya kusaidia masikini kupata unafu wa huduma za afya, so kwa tanzania yetu yenye watu millioni 45 kulinganisha na rwanda yenye watu milioni 9.5 bado si sahihi sana
Rais kagame amechukua vijana bright wanaotakiwa kuendelea na elimu ya juu na kuwaombea scholarship na wengine kuwalipia elimu ya juu kwenye vyuo maarufu marekani ili baadae waje kuitumikia nchi yao.
Kitendo alichofanya rais kagame pamoja na udikteta wake lakini kitaifanya rwanda kuwa nchi yenye maendeleo makubwa baada ya miaka 5 kuanzia sasa kwani watakuwa na wataalamu wa kila fani.
Wakati rwanda wanafanya hayo sisi tumeendelea kusaini mikataba ya madini na gesi wakati hatujajiandaa kwa kusomesha wataalamu wetu na pia tunasaini mikataba bila kuwa na sera yoyote ya uchimbaji madini na gesi.
Pia tumeshindwa kusomesha wataalamu wetu na badala yake viongozi wa serikali wametumia nafasi walizonazo kusomesha watoto wao na kuwapa nafasi kwenye nyazifa nzito kama bot,kwenye ubalozi na sehemu nyingine wameshindwa kuimarisha elimu na kugawa keki ya taifa kwa watanzania wote
;
Mimi nionavyo kwanza nikupongeze kwa kufuatilia kinachojiri kwa nchi zinazotuzunguka (JIRANI) huo ndio ujirani mwema siku zote..., naomba tu kutofautiana na wewe eneo moja tu kwamba Kagame ni dikiteta, hayo ni mambo ya magazeti hajawahi kuwa dikiteta hata siku moja. Ni mtu anayependa vitu viende kwa kufuata cheria, kanuni na taratibu, amechaguliwa kidemocrasia wakati wote, kuna mahakama na kila akoseaye sheria inachukua mkondo wake, ameweza kufuta adhabu ya kifo, ni nchi peke yake Duniani yenye asilimia kubwa ya wabunge wanawake wengi . hapo udikiteta uko waapi.
Maendeleo Rwanda juwezi kulinganisha na nchi yoyote Africa hii.....!! ukiondoa South africa na Mauritius nafikiri, usafi, ruhwa zero torelance ngoja niache hapo kwa leo, na sisi tunahitaji kubadilika na kufuata nyayo.