Misijambo, hofu kwako wewe mama mchungaji...
Sijambo Baba Mchungaji naona kama kawaida aina ya comments zako zile za siku zote. Uhamage huko Baba Mchungaji.Misijambo, hofu kwako wewe mama mchungaji...
Sawa mama mchungaji, ngoja nifanye mabadiliko ili nisikupoteze tafadhali....Sijambo Baba Mchungaji naona kama kawaida aina ya comments zako zile za siku zote. Uhamage huko Baba Mchungaji.
mumeolewa ili mjitawale sio....Na maandiko lazima yawahukumu tu!
Shida Kubwa ni Wanawake Wanajifanya Wanaume....Simameni kwenye nafasi zenu!
Wanajifanya kwasababu nyie nafasi zenu zimepwaya mkuu..hebu chunguza usiongee bila uhakika!lazim tuzibe mapengo!hakuna namnaShida Kubwa ni Wanawake Wanajifanya Wanaume....
Nawe unachukulia kitu serious acha bangi sio nzuri kwa afya yako.Nyodo hiyo. Ulitaka uolewe wewe!? Alichelewa kukuona Katoto kazuri.
Usijitabirie hivyo. Na utalima kweli kabisa, wee jishaue tu.
matrimonial assetsNenda mahakamani. Kama alichukua mkopo kwa kadi ya gari yako na hakuna mkataba wowote ambao wewe umeidhinisha, imekula kwaoo, wala usiogope.
Kabisa naunga mkono hoja, mimi wife ananimbiaga kuna siku unavutaga bangi nini? huwa namchenjia mpaka haamini issue ndogo nakomalia mpka unaanza kumuonea huruma.Madhara ya kukaa na mke mwaka mzima hujam bust hata Kofii moja ndio haya.
na anakoelekea ni kukukosea adabu zaidi, we ngojea endelea kumchekea chekea tu.
Madhara ya kukaa na mke mwaka mzima hujam bust hata Kofii moja ndio haya.
na anakoelekea ni kukukosea adabu zaidi, we ngojea endelea kumchekea chekea tu.
wakati mwingine mnajisahau na nyie,mkiona tunawapet pet ndio akili zinawarukaga zotenimecheka kama mazuri...sio upendo huo Controla
wakati mwingine mnajisahau na nyie,mkiona tunawapet pet ndio akili zinawarukaga zote
kichwani kuna baki na chembe chembe chache sana ambazo bila kofi haziwezi kaa sawa.
Pujo hufai kuwa hakimu maana utaegemea upande wa mwenzako tu.Kosa lake ni kutomwambia tu kuwa amekopa kwa kadi yake
Lakini amuulize kwanza je amefanyia kitu gani huo mkopo, huwenda amefanyia kitu cha maana sana ,tena chenye maendeleo ktk familia
Usikute mwanaume nae kuna mapungufu yake anayo...msimuhukumu kwanza jmn
Nyie wanaume nyinyi mda mwngne mwnmke anakuomba kitu humpi, anakushaur fny kitu iki hutaki, unfkr atafny nini zaid ya kujikopea mwnyw tu
Mi sijakataa kuwa hana kosa, analoo ndo mana nilisema apo juu kuwa kosa lake ni kuchukua pesa bila kumshirikisha mumewePujo hufai kuwa hakimu maana utaegemea upande wa mwenzako tu.
Kumbuka huyo ni mke na si mchumba wala nyumba ndogo
kitendo cha kufanya tu chochote bila kunishirikisha ni kosa la jinai
bila kuangalia alienda fanyia nini.