Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Hiki ndio kipindi ambacho MTU akitoa noti ya buku 10 mfukoni watu huhisi anafanya mazingaumbwe na kumuomba arudie kuitoa tena ka ni kweli hawaamini.
Pesa imegeuka lulu jamani??
Na hiki ndio kipindi ambacho siasa haina mvuto imefunikwa na usajili wa wachezaji hakuna anaemskiliza Ngwajay wala mange na Rc wao.
Mimi yangu n hayo tu
Nipe mtazamo wako Hali ya maisha ya sasa ukianza na prefix HIKI NI KIPINDI AMBACHO......
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Pesa imegeuka lulu jamani??
Na hiki ndio kipindi ambacho siasa haina mvuto imefunikwa na usajili wa wachezaji hakuna anaemskiliza Ngwajay wala mange na Rc wao.
Mimi yangu n hayo tu
Nipe mtazamo wako Hali ya maisha ya sasa ukianza na prefix HIKI NI KIPINDI AMBACHO......
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app