Hiki ndio kipindi kibaya kuwa kwenye ajira kuliko vyote

maroon7

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
11,144
15,144
Kutokana na kasi ya utumbuaji kuwa siyo ya kawaida na kila mtu sasa kutaka sifa ya kumtumbua mwenzake, nimetafakari na kugundua hiki ndio kipindi kibaya kuliko vyote kuwa kwenye ajira iwe serikalini au taasisi binafsi.

Maana huwezi jua ninani anaweza kukuingiza 'King' ukajikuta unatumbuliwa na hii ni kutokana na kufanya kila kitu kwa mazoea. Mbaya zaidi ukijifanya mbunifu au mtu wa kujiongeza unaweza jikuta umeharibu au ukaonekana ulikua na nia mbaya na ukizubaa kidogo napo unapewa teke.

Hakuna pa kugeukia, nawaonea wivu masela wanaofanya ishu zao kitaa tu.
 
Kutokana na kasi ya utumbuaji kuwa siyo ya kawaida na kila mtu sasa kutaka sifa ya kumtumbua mwenzake.. nimetafakari na kugundua hiki ndio kipindi kibaya kuliko vyote kuwa kwenye ajira iwe serikalini au taasisi binafsi. Maana huwezi jua ninani anaweza kukuingiza 'King' ukajikuta unatumbuliwa na hii ni kutokana na kufanya kila kitu kwa mazoea. Mbaya zaidi ukijifanya mbunifu au mtu wa kujiongeza unaweza jikuta umeharibu au ukaonekana ulikua na nia mbaya, na ukizubaa kidogo napo unapewa teke la mat.ako. Hakuna pa kugeukia.... nawaonea wivu masela wanaofanya ishu zao kitaa tu.
Rejea kwenye muongozo wako wa kazi, fanya yale tu yanayokuhusu baaas. Play it safe!
 
Kutokana na kasi ya utumbuaji kuwa siyo ya kawaida na kila mtu sasa kutaka sifa ya kumtumbua mwenzake, nimetafakari na kugundua hiki ndio kipindi kibaya kuliko vyote kuwa kwenye ajira iwe serikalini au taasisi binafsi.

Maana huwezi jua ninani anaweza kukuingiza 'King' ukajikuta unatumbuliwa na hii ni kutokana na kufanya kila kitu kwa mazoea. Mbaya zaidi ukijifanya mbunifu au mtu wa kujiongeza unaweza jikuta umeharibu au ukaonekana ulikua na nia mbaya na ukizubaa kidogo napo unapewa teke.

Hakuna pa kugeukia, nawaonea wivu masela wanaofanya ishu zao kitaa tu.


Kwa sasa kazi zinafanywa kwa ufanisi kwani watu wengi walikuwa hawana vigezo vya kufanya kazi na sasa wanajifukuzisha wenyewe kwa haibu zao. Ukiwa na degree za ukweli huwezi kuwa na wasiwasi, wasiwasi wanao vila.za tu, na ndiyo maana wanasepa mapemaaa.
 
Kwa sasa kazi zinafanywa kwa ufanisi kwani watu wengi walikuwa hawana vigezo vya kufanya kazi na sasa wanajifukuzisha wenyewe kwa haibu zao. Ukiwa na degree za ukweli huwezi kuwa na wasiwasi, wasiwasi wanao vila.za tu, na ndiyo maana wanasepa mapemaaa.
Kumbe siku hizi hadi maprofesa na madokta ni vil.aza
 
Kumbe siku hizi hadi maprofesa na madokta ni vil.aza


Umekosea, siyo siku hiz tu....hawa vila.za walikuwepo toka enzi za Mkapa na Kikwete ila waliachwa tu kuhujumu uchumi na kunufaisha mabosi wao matokeo yake wakazaliana kinoma na kufanya maisha ya magumashi dili hapa Bongo. Tanzania tulimuhitaji Magufuli ila alichelewa tu kuja....wapumbavu ndiyo wanaolalamika kwa sababu wanafichuliwa na kuumbuliwa. Mtu umesoma na una degree ya ukweli kwa nini ulalamike?
 
Back
Top Bottom