Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 439
- 1,573
karibuNaweza jifunza mawili matatu toka kwako?
karibuNaweza jifunza mawili matatu toka kwako?
speaking from experience !!Pole Sana mkuu maana kutatuliwa Linda no irreversible reaction.
sana mkuu though najua haitowashtua sana cause kama wazazi au ndugu lazma wahisi tofauti fulani ila huwa ni ngumu kukubaliana na realityMkuu jitahidi kweli Familia yako na watu wako wasijue wakijua itawauma sana aisee
true kuna wanaozoeshwa mchezo hadi inakuwa maisha yao but kwangu haikuwa hivyoilikuaje ikawa hivyo nasikia wengine huwa wanabakwa wakiwa wadogo
hisia tu nothing elseUlianzaje anzaje
unaweza kuacha sex ?Kwani huwezi acha hio tabia?
Lakini mkuu si uliconfess wewe mwenye bila kushurutishwa kama vidume vinakupumulia?speaking from experience !!
sikuexpect kila mtu jf awe matured either way aongee kitu kinachonifurahisha therefore chochote unachoongea juu yangu na unaoona kipo ok kwako. nakipokea with open arms bila kukichukulia personalLakini mkuu si uliconfess wewe mwenye bila kushurutishwa kama vidume vinakupumulia?
Hebu jaribu kuelezea unaweza kufungua ufahamu wa watu, yaani nini ambacho wewe umekona uko tofauti?most people hudhani its all bout malezi ila in reality it takes more than that.im a living proof by the way cause sipo the way i am cause of my upbringing ni vile nipo tofauti from the rest kwa identity
Oyaaa baharia unataka kwenda mtatua jamaa wa watu nini? 😂😂😂😂Shukrani.
Nakuja PM
Yani mwanaume unakuwa na hisia za kupelekewa moto?? 😲😲hisia tu nothing else
Tulia wewe brazamenOyaaa baharia unataka kwenda mtatua jamaa wa watu nini? 😂😂😂😂
Uyo wa mwanzo kushoto manyonyo yake yamemshuka alaf ni gengstar. Lol..Kama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBTView attachment 1763881
you are intelligent and well learned without a doubt but hii acting ya kujifanya hardcore nigger na kuuliza silly questions just usionekane different from the rest ni kwa ajili ya nini?.Yani mwanaume unakuwa na hisia za kupelekewa moto?? 😲😲
sometimes nafikiria hizi siri zangu zikitoka nje familia yangu itachukuliaje ila end of the day; kila mtu ana dark side yake and this is mine. I'm gay and its fine
kuwa karibu na mtoto wako friendly aweze kukuuliza chochote including sex issues na experiences zake. this way utaweza kuelewa mzunguko wa maisha yake na kama kuna hatari ama any changes utaijua mapema na kuidhibitiHebu jaribu kuelezea unaweza kufungua ufahamu wa watu, yaani nini ambacho wewe umekona uko tofauti?