Hiki kipeuo hikiii.............

Sajenti

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
3,651
412
Wana JF habari za mapumziko ya mwisho wa wiki...Kuna tangazo moja redioni la Haki Elimu linanifurahisha sana..Ni pale mwalimu mkuu anapomuagiza mwalimu mmoja kufundisha somo la hesabu na jamaa kabisa anaonekana kukosa kujiamini...Kubwa ya yote ni pale anapoanza ku-introduce hiyo topic ya "Skwea ruti a.k.a kipeuo". Mpaka kipindi kinakwisha mwalimu hajakamilisha hiyo introduction na mwisho anawaambia wanafunzi wakafanye mazoezi....Hiki kipeuo cha mbili yaaani skwea ruti, ili tuelewe vizuri hiiii skwea ruti hii inakwendaaaa ngoja niandike ubaoni ili muelewe vizuri...Sipati picha kwa aina ya mwalimu huyu kama wanafunzi wanatoka na knowledge yoyote..
 
yule mwalimu huwa ananisikitisha sana, kwanza mwl mkuu alipomwita na kumwambia afundishe hesabu alishindwa hata kuongea akaishia kusema
''......hivi kweli hauna kabisaaaa yaani hakuna kabisa.......''

yaani kweli mkuu umekosa kabisa wa kumtundika huo msalaba ukaamua kuniangushia mimi??

hahaa mwl anaishia kusema squre root, squre root nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi...
 
yule mwalimu huwa ananisikitisha sana, kwanza mwl mkuu alipomwita na kumwambia afundishe hesabu alishindwa hata kuongea akaishia kusema
''......hivi kweli hauna kabisaaaa yaani hakuna kabisa.......''

yaani kweli mkuu umekosa kabisa wa kumtundika huo msalaba ukaamua kuniangushia mimi??

hahaa mwl anaishia kusema squre root, squre root nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi...
GHT, mm nina ona shida kuelewa ujumbe kwenye lile tangazo, najua wanajaribu kuonyesha citizen urgence kwa wanafunzi wajiamini na kusema wazi wazi kuwa hawaridhishwi na hali halisi.
Lakini, in the other hand, unawezaje kumwambia mwanafunzi a-take charge .....akamwambie mkuu wa shule awatafutie mwalimu compitent, wakati mkuu huyo huyo ndo amemwambia yule kilaza akafundishe Square root?

Inaonyesha wazi wazi kuwa, mkuu wa shule ana-upungufu wa walimu mbaya kabisa, lakini ushiriki wa wanafunzi hapo hauwezi kutataua tatizo ambalo mkuu analijua fika. Tatizo hapo ni kwamba ushiriki wa wananchi---wanafunzi in this case, inaonyesha ku-cover responsibility ya serikali katika kuhakikisha kuna walimu wa kutosha mashuleni.
HILI TANGAZO LINA MUSHKELI......kwa mtazamo wangu.
HaKe hebu fanyeni utaratibu hapo.
 
Ticha kaimba square root, square root, kama mara mia ngapi cjui .......... Mara kengele ya kipindi, nge nge, ha ha, ticha lazima kimoyo moyo alishusha pumzi uuuuhh! Hakujivunga akaaga fasta. Sijui mwalimu wa Kiswahili na Civics huko labda, af atwishwe zigo la 'namba', what 2 b expected?
 
GHT, mm nina ona shida kuelewa ujumbe kwenye lile tangazo, najua wanajaribu kuonyesha citizen urgence kwa wanafunzi wajiamini na kusema wazi wazi kuwa hawaridhishwi na hali halisi.
Lakini, in the other hand, unawezaje kumwambia mwanafunzi a-take charge .....akamwambie mkuu wa shule awatafutie mwalimu compitent, wakati mkuu huyo huyo ndo amemwambia yule kilaza akafundishe Square root?

Inaonyesha wazi wazi kuwa, mkuu wa shule ana-upungufu wa walimu mbaya kabisa, lakini ushiriki wa wanafunzi hapo hauwezi kutataua tatizo ambalo mkuu analijua fika. Tatizo hapo ni kwamba ushiriki wa wananchi---wanafunzi in this case, inaonyesha ku-cover responsibility ya serikali katika kuhakikisha kuna walimu wa kutosha mashuleni.
HILI TANGAZO LINA MUSHKELI......kwa mtazamo wangu.
HaKe hebu fanyeni utaratibu hapo.

kwenye red huo upadrisho umepata lini mpaka unibatize??

point yako ni sahihi sana B, hili tangazo haliko sawa, hata mwanafunzi akipata courage akaenda kumwambia mwl mkuu, mkuu atafanya nini kwa kuwa he has no choice bali kumlazimisha mwl wa 'kiswahili' akafundishe hisabati!!!!

hapo bado.....Haki elimu think twice!!!
 
Ticha kaimba square root, square root, kama mara mia ngapi cjui .......... Mara kengele ya kipindi, nge nge, ha ha, ticha lazima kimoyo moyo alishusha pumzi uuuuhh! Hakujivunga akaaga fasta. Sijui mwalimu wa Kiswahili na Civics huko labda, af atwishwe zigo la 'namba', what 2 b expected?

afu kenegele ya kwisha kipindi ilipogongwa mwalimu alishindwa kuficha furaha yake!!!
 
lakini ndio inaonyesha hali halisi ya walimu wetu..

ni kweli bestlady ila kwa tanagazo hili, wanafunzi hata wakiwa na ujasiri wa kumwambia mwl mkuu itasaidia kwa kiwango gani?
tatizo mkuu analijua na ndo maana kaona kuliko wakose kabisa basi ngoja niwape mwl wa 'kiswahili' aka-bluff anagalau mpaka kipindi kiishe as he has no choice
tatizo la uhaba wa waalimu kwa masomo husika upo wazi na serikali inalitambua hilo
wanachukua hatua gani kukabiliana nalo.............me donno!!
 
God save this country. Watoto wetu sijui wataishia wapi kama hawapati foundation nzuri. Itabidi tuwafunze wenyewe majumbani. Badala ya kuwahi bar ni kuwahi home kuwapa wanoa mazoezi la sivyo wataishia kuwa mazuzu.
 
God save this country. Watoto wetu sijui wataishia wapi kama hawapati foundation nzuri. Itabidi tuwafunze wenyewe majumbani. Badala ya kuwahi bar ni kuwahi home kuwapa wanoa mazoezi la sivyo wataishia kuwa mazuzu.

sasa mama Nim wangapi wanaweza kufanya hivyo
hao wenye watoto wao huko St. Kayumba ndo hawajiwezi kielimu watwafundisha nini watoto??? its a painful truth.....masikini tutaendelea kuwa masikini......
 
lakini ndio inaonyesha hali halisi ya walimu wetu..
FL1, I totally agree with you. Yaani mie wanangu hao walimu wao itabidi niwafanyie interview kabla ya kuchukua fomu ( Inshaalah!). Nadhani tangazo hili linatoa changamoto pia kwa serikali kuhusu ubora na uwezo wa walimu wetu. Hata huko St Maria ni hayohayo. Mwalimu anabaki @ zissss, I mean, u know kibaaao hadi kipindi kinaisha. Na changamoto pia kwa walimu kutokubali kazi wasizoziweza. Sheria ya kazi (Labour relations Act 2004) inaruhusu mtu kukataa kazi ambayo haiwezi untill amejengewa uwezo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom