, watanzania bwana.....hivi Tanzania hii kuna sehemu / kabila lipi ambalo halina walau jambo moja tu ambalo "wasomi" hamtasema "uchafu". Tuthamini asili zetu.Uchafu mtupu!
atakuwa anapasua ie 280,000 yake ya posho ya jairo
View attachment 42151View attachment 42152 kwenye tamasha la watu wa Rukwa.
Umeona hee! Nae fisadi japo anajifanya mtoto wa mkulima angekuwa hivyo si angekuwa mstari wa kwanza kuwatetea wakulima
..shetani anatesa kweli!