Hii ya mh. Pinda ni kali!

Hivi kumbe mpaka leo watu bado wananyonya mirija toka kwenye chombo kimoja?! Mtu akiamua kupulizia mate badala ya kunyonya hiyo pombe si anawaambukiza wenzie maradhi kirahisi sana? Kweli hii kali!
 
..shetani anatesa kweli!

Acha ujinga wewe shetani ulimwona wapi? hapo watu wanafurahia maisha huoni makamu raisi amejawa tabasamu. hii akili ya kutopenda watu wawe na furaha haifai kabisa, waache wabantu wafurahie ubantu wao, wazungu na uzungu wao na waarabu na uarabu wao. Hatutaki utumwa hapa ebo!!!
 
Back
Top Bottom