Hii Ya Katibu wa Mbunge Lema Imekaaje?

Nyambala acha ujinga uchaguzi wa mbunge Arusha mjini ni mwaka 2012.Vipi unaishi dunia ipi au kwenye vile vijiwe vya wavuta bangi !.Hivi unafikiri nini sababu ya maandamano na vurugu za madiwani Arusha.Kwa taarifa yako Lema anajua wazi lazima atengeneze mazingira mazuri ili uchaguzi ukirejelewa hata kesho anashinda kiulani.
.
Unajua Ngongo record yako kuwa against Lema hata mtoto mdogo angejiuliza why????????? I told u before swallow ya pride and move on!!!!!! Lema ndiyo mbunge yule jamaa yako wa TLP au sijui ndiyo wewe mwenyewe asubiri mpaka hiyo 2015 kama siyo 2020. Na hii andama andama isiyo na kichwa wala miguu ndiyo inazidi kumjenga hahah ahahah ahahaha!!!!!!!
 
We Ngongo hujaridhika tu bado unatafutachokochoko

QUOTE=Ngongo;2392562]<a href="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35800&amp;d=1314014105" target="_blank"><br />
<font size="3"><b><span style="font-family: lucida console"><br />
Ukiisoma barua ya mheshimiwa mbunge bila kengeza la kisiasa utagundua Lema alishagundua uhalifu wa katibu wake umeshajulikana</span></b></font><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35800&amp;d=1314008474&amp;thumb=1" border="0" alt="" /></a>[/QUOTE]<br />
<br />
 
Kuna kitu kinaitwa Public Trust katika utawala na utendaji wa serikali na vyombo vya dola. Unapokuwa na system ya governance yenye 0% of public trust, usitarajie anything of substance from that system. CCM na vyombo vyake vya dola wanatakiwa kukaa chini na kujiuliza is this the best they can do for the country?. Mwaka 1992 wakati wa kuanzisha mfumo wa vyama vingi, waasisi waliliona hili na kuweka bayana kuwa vyombo vya dola viwe huru na visijishirikishe na mambo ya ushabiki wa kisiasa. Nadharia ile kama ingekuwa implemented and in practice today, basi tungeshuhudia jeshi la polisi lenye kuaminika kwa wananchi. Kitendo cha kuwa na viongozi wa jeshi la polisi wanaopewa majukumu kama asante ya kisiasa ili wawalinde waliopo madarakani ni dhahiri jeshi hilo linakosa LEGITIMACY and CREDIBILITY on face of the PUBLIC. Upuuzi huu alitaka kuufanya Shimbo mwaka jana kwa ku-contaminate JWTZ na siasa ila nafikiri Chief of staffs watakuwa walimuonya kwenye vikao vyao.

Unapoona wananchi wanaanza ku-question every move and step taken by authorities, indicates something is wrong and quick action for remedy should be put in place. Tanzania ya leo hakuna mwananchi anayeamini jeshi la POLICE tena, hata watawala wanaolindwa na jeshi hilo ninaamini watakuwa wanataka confirmations ten times about an action before they go public with it. Ningekuwa mimi ningelifumua jeshi lote na kuliunda upya kwa kuwapatia training upya watendaji wake.

Siwezi kanusha au kubali story hii ya Jambo leo, ila si kwamba inalisaidia jeshi la polisi, la ila inazidi kuiharibia. Ingekuwa ni jambo la busara kuwa habari zote zinazohusu jeshi hilo zingekuwa zinatolewa maelezo na msemaji wake mbele ya vyombo vyote vya habari kuliko kutuma vimemo kwenye magazeti ya propaganda ya CCM. This is what other countries call "Gotcha Politics" and always negatively accepted by the Public.

LET'S GIVE OUR SECURITY ORGANS CREDIBILITIES AND NOT DEMONISE THEM FOR POLITICAL GAINS. MUASISI WA MATUMIZI MABAYA YA JESHI LA POLISI NI OMARI MAHITA - NA VIZU VYA CUF UCHAGUZI WA 2005. KAONDOKA KALIPAKA SEWEGE JESHI NA WALIOBAKI WANAZIDI KUJISILIBA
 
Hata kama ingekuwa kweli, Lema anahusikaje na maisha binafsi ya katibu wake? Baada ya muda wa kazi Lema na katibu wake kila mtu anajijua.katibu wa Lema anakula nini, anafanya nini, anakaa wapi si kazi ya Lema.
Bahati mbaya tumeshaambiwa tena kuwa Mgonja siyo katibu wa Lema. Halafu gazeti la serikali ambayo inatumia jasho langu kwa njia ya kodi ndo inaleta udaku huu hadharani.
Kwanza ni hatari, pili ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
 
Ok inaweza kuwa lakini mbona hakuna details. Elewa kuwa hila na majungu na nia ya kuuangusha upinzani Arusha ndiyo nia ya wenye magamba
 
Nyambala acha ujinga uchaguzi wa mbunge Arusha mjini ni mwaka 2012.Vipi unaishi dunia ipi au kwenye vile vijiwe vya wavuta bangi !.Hivi unafikiri nini sababu ya maandamano na vurugu za madiwani Arusha.Kwa taarifa yako Lema anajua wazi lazima atengeneze mazingira mazuri ili uchaguzi ukirejelewa hata kesho anashinda kiulani.
.

Hahaha ahahaha ahahaha!!!!!!!!! Kwa hiyo wewe na Batilda mlishafungua kesi na mtashinda siyo? Kama ulivyotuahidi mwaka jana. Man!!!!!!! Hivi huna shughuli nyingine zaidi ya ubunge wa Lema???????????????
 
Kamanda wangu Crashwise hodari sana wa kuunganisha mabandiko yangu sijui leo atayaleta ili wanajamvi wapate references za kutosha ?.
Nilikuwa busy kidogo nakusoma....Nitaunganisha mabadiko yako utakapo endeleza unafiki wako.....
 
Acha uoga wewe, mtoto wa nanihii ndo nani? Unaogopa hata kivuli? Mwaga live bana.

Usinichekeshe bana, wauza unga wa kubwa si ni viongozi wa dini fulani atleast kwa mujibu wa mkuu? Siku watakapoamua kujibu mashambulizi na wenyewe hawaogopi vivuli vyao sijui hali itakuwa vipi. Hapo sasa.
 
Nyambala acha ujinga uchaguzi wa mbunge Arusha mjini ni mwaka 2012.Vipi unaishi dunia ipi au kwenye vile vijiwe vya wavuta bangi !.Hivi unafikiri nini sababu ya maandamano na vurugu za madiwani Arusha.Kwa taarifa yako Lema anajua wazi lazima atengeneze mazingira mazuri ili uchaguzi ukirejelewa hata kesho anashinda kiulani.
.
Uchanguzi tuna hamu nao sana tu tena siyo wa Arusha peke yake ni wanchi nzima na bado Lema atashinda kwa kishindo...bila kujari watu wake wanaishi kwenye dunia ya vijiwe vya wavuta bangi na ukirudiwa leo ndiyo mtaisoma....
 
Mkuu Freedom Of Flag.

Kwa heshima kubwa lazima tukubali watu,ndugu,jamaa na marafiki tunaowapenda wanaweza kuwa wahalifu bila jamaa zao wa karibu kufahamu na wakati mwingine hata wakifahamu watajaribu kupooza kwa namna yoyote bahati nzuri kiswahili kina misamiati kibao eg kasogeza badala ya kaiba.Hata yale majambazi yanayopigwa mawe/chomwa na matairi na kufa yanakuwa na watu wa kuwalilia na pengine kulaumu kwa unyama walitendewa mara nyingi hawapendi kusikia au kuambiwa ubaya wa mtu wao na ndicho ninachokiona hapa.

Habari za Mheshimiwa Mbunge Lema kuhusishwa na ujambazi hazikuanzia kwa kamanda Zombe kama baadhi ya wanajamvi wanavyolazimisha tuamini zilianza siku nyingi sana pengine umekuwa mvivu hapa jamvini.Tunajua Mgonja aliwahi kushika wadhifa wa katibu wa mbunge jimbo la Arusha mjini.Katibu wa mbunge ni mtu wa karibu sana kwa vyovyote alishiriki kuanzia mwanzo wa kampeni hadi mwisho akapewa jukumu la kumsaidia mbunge.Umetufahamisha kwamba katibu wa mbunge ni Bwana Gabriel Mbuki.Hakuna ubishi kwamba Mbuki hakuanza kazi ya ukatibu wa mbunge mara baada ya Lema kushinda ubunge hivyo tunakubaliana Mgonja alianza kazi ya ukatibu na baadae sana sijui mwezi uliopita au mwaka jana Mbuki akampokea kijiti.

Ikiwa Mgonja kahushishwa na ujambazi lazima abebe zigo la dhambi zake hakuna haja ya kumtetea kwa namna yoyote.waandishi wa habari wana haki kabisa ya kufichua maovu bila kujali uhusiano wa mtuhumiwa au wadhifa wa mtuhumiwa.Sina tatizo na mwanahabari kufichua wadhifa wa mtuhumiwa wala Lema hata kuwa mwanasiasa wa kwanza kufanyiwa hivyo.Sidhani kama mbunge alimtuma Mgonja kufanya uhalifu kinachonikera ni aina ya utetezi wa hovyo kabisa ambao umekuwa ni sehemu ya utamaduni hapa jamvini.

Tuache waandishi wa habari wafanyekazi kwa uhuru wa kutosha hakuna mtu aliyealazimishwa kuisoma kama huitaki acha wengine watasoma.

Mkuu wewe kwako LEma hajawahi kuwa na zuri... naona unafurahia sana... mbona October 2010 kwenye kura alikuacha mbali sana.... Play to win but lose with dignity.... Tujenge Arusha yetu...
 
Acha waseme tunasubiri siku 30 za kuingia ofisi ya mkurugenzi wa manspaa Arusha maana vurugu zoote za siasa za Arusha ni mkurugenzi.

Nilikuwa nawashauri muwahi kabla hili tatizo la posho za hawa wanausalama halijapatiwa ufumbuzi ili na wao wawe moja ya waandamanaji kama ilivyokuwa misri.
 
Kwa mtu anayekusoma for the first tyme they may think you have a point!!!!!!!!!!

Mbona Mgonja siyo Katibu wa Mh. Lema. Inashangaza anapohusishwa na Mbunge ambaye alishamkana siku nyingi.
Hata kama angekuwa Katibu wake wasingeweza kuingiliana katika biashara binafsi.

Watanzania tuwe waelewa na tusitazame mambo kwa ushabiki wa kisiasa.
 
Mbona kuhusu huyu Katibu wa Mbunge kuna mkanganyiko? Mara siju Mbuki mara anakuja huyu Lucia Francisco mara mwanzoni alikuwepo Mgonja!! Yupi ni yupi? Barua inasema Mgonja amepata kazi nyingine!!!! huenda ndio hiyo sasa!!!<br />
<br />
Mkuu Mpaka Kieleweke nadhani kuhusishwa kwa Lema kuna logic. Logic yenyewe ni kwamba Zombe alishasema kwamba Lema ni Jambazi na Lema amewahi kuwa na uhusiano na Mgonja kama Katibu wake na Mgonja amehusishwa na ujambazi. Basi mkuu hapa nadhani mwandishi alitaka kuonyesha kuwa kama A=B na B=C basi A=C!!!
<br />
<br />
Jamani katibu wa Mbunge ni Gabriel Mbuki, mimi mwenyewe nimewasiliana naye, yupo ofisini kwa Mbunge. Kuhusu huyo Lucia ilikuwa ni mazingira ya mwanzoni wakati wa mchakato wa kumtafuta katibu wa kudumu. Vile vile labda suala la jinsia ndiyo iliyosababisha Lucia kutokuwepo hapo.
 
Hili siyo gazeti huru, sipotezi mda wangu kulisoma
<br />
<br />
K&#3627;&#3593; bahati mbaya siku hizi habari iliyoandikwa kwnye gazeti la Uhuru,lazima HabariLeo na Jambo Leo waandike habari hiyo esp. dhidi ya CHADEMA!! Why iko ivo au ndio kuonyesha kuwa kitu iko seriou? Hapana magazeti haya ni sumu kwa maendeleo na hatma ya nchi,wanapotosha, wachochezi n.k!
 
Nyambala acha ujinga uchaguzi wa mbunge Arusha mjini ni mwaka 2012.Vipi unaishi dunia ipi au kwenye vile vijiwe vya wavuta bangi !.Hivi unafikiri nini sababu ya maandamano na vurugu za madiwani Arusha.Kwa taarifa yako Lema anajua wazi lazima atengeneze mazingira mazuri ili uchaguzi ukirejelewa hata kesho anashinda kiulani.
.

Illusion per se
 
Kama mmesoma gazeti la habari leo na la uhuru walau la uhuru limesema kuwa aliyewahi kuwa katibu wa mbunge , ila habari leo ambalo ni gazeti la serikali limesema katibu wa mbunge na walimhoji RPC na RCO ila walishapewa barua tangu juni sasa mbona hawakutaka kusema hilo? au lengo lilikuwa ni kumhusisha tuu Lema ili kujaribu kuficha fukuto lililopo ndanio ya jeshi la polisi baada ya kuwatapeli fedha zao?

Kuhusu Zombe na aliyosema mbona alijibiwa na kuulizwa kama alikuwa amelewa ama alivuta bangi siku anatamka? mpaka leo haijaisha kichwani ?ili aseme kwa ufasaha zaidi?Mimi tangu nimuone akiwa na majane wa Mzee Kawawa w2akati anatolewa kwenye nyumba yake Dodoma na Zombe ndio alikuwa anamsindikiza nimekuwa sina haja ya kumjadili tena huyu jamaa wala kujua analowaza na kufanya.
 
Back
Top Bottom